MNYAMA RONALDO AFANYA YAKE

MBELE ya mashabiki 73,564 waliojitokeza Uwanja wa Old Trafford, Cristiano Ronaldo aliweza kufunga bao ambalo liliacha pointi moja kwa Manchester United. Ilikuwa dk ya 62 alisawazisha bao lililofungwa na Marcos Alonso wa Chelsea aliyefunga bao hilo dk ya 60. Hivyo wababe hao walikamilisha dakika 90 ubao ukisoma Manchester United 1-1 Chelsea. Ni Reece James wa…

Read More

SIMBA YACHEKELEA KULIPA KISASI KWA TABORA UNITED

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umefurahi kulipa kisasi dhidi ya timu ambazo zilifungwa na Tabora United kwenye mechi za ushindani ambazo zilichezwa msimu wa 2024/25 ndani ya uwanja. Simba imecheza mechi 16 za Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC ikiwa ni ligi namba nne kwa ubora Afrika. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu…

Read More

SIMBA, MAKUSU MAMBO SAFI

TAARIFA kutoka DR Congo zinaeleza kuwa Klabu ya Simba ipo katika hatua nzuri za kukamilisha usajili wa mshambuliaji Jean Marc Makusu Mundele. Simba kwa sasa ipo nchini Dubai ambapo inaendelea na kambi yake kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili na mechi za kimataifa. Wakala wa mchezaji huyo, Faustino Mukandila ameweka wazi kuwa mchezaji…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA VIPERS YA UGANDA

SIMBA leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Vipers ya Uganda mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Kikosi cha Simba ambacho kitaanza leo kipo namna hii:-Aishi Manula ameanza langoni, Shomari Kapombe, Henock Inonga, Joash Onyango na Mohamed Hussein katika ukuta. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute katika viungo wakabaji na Kibu Dennis, Ntibanzokiza na Clatous…

Read More

YACOUBA KUKOSEKANA YANGA MSIMU MZIMA

LICHA ya mafanikio makubwa ya upasuaji wa goti aliofanyiwa kiungo Mburkinabe wa Yanga, Yacouba Songne, imeelezwa kuwa kiungo huyo yupo hatarini kukosa michezo iliyosalia ya msimu huu kutokana na kuuguza jeraha hilo. Yacouba alipata majeraha hayo ya goti kwenye mchezo dhidi ya Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, ambapo upasuaji wake ulifanyika Novemba 11, mwaka huu. Yacouba tayari amerejea nchini…

Read More

GUARDIOLA ABAINISHA VINICIUS HAKABIKI

PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amebainisha kwamba sio rahisi kumdhibiti Vinicius Jr ila iliwezekana kupitia kwa Fernandinho. Manchester City ilipata ushindi wa mabao 4-3 dhidi ya Real Madrid kwenye mchezo wa hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyochezwa Uwanja wa Etihad. Wao City walikuwa ni wenyeji na waliibuka na ushindi…

Read More

MAKIPA BONGO MAKOSA MUHIMU KUFANYIA KAZI

MAKIPA wengi wamekuwa wakiingia kwenye lawama kutokana na kufungwa mabao ambayo yanaleta maswali baada ya mchezo husika. Hii imekuwa ikiwakumba makipa wote wale wageni na hawa makipa wazawa nao wamekuwa kwenye kasumba hii jambo ambalo halipendezi. Ukweli upo wazi kwamba mpira ni mchezo wa makosa lakini yanapozidi ni muhimu kufanyia kazi na kila mmoja kutimiza…

Read More

SIMBA WAJIVUNIA KUMLETA AZIZ KI BONGO

UONGOZI wa Simba umesema kuwa hauna hofu hata kama wakimkosa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas, Stephane Aziz Ki kwani wapo wachezaji bora na wazuri wengine katika timu hiyo. Simba wamejipongeza kwa kuwaleta wachezaji wazuri Bongo ikiwa ni pamoja na Aziz KI kwenye mechi za Kombe la Shirikisho, Uwanja wa Mkapa. Hiyo ikiwa ni siku chache…

Read More

YANGA KAZI KAZI KUWAKABILI WAARABU

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa mpango kazi mkubwa kwenye mechi yao dhidi ya Waarabu wa Algeria, CR Belouizdad. Timu hiyo inakibarua cha kuanza kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya makundi Novemba 24 kisha wakimaliza kazi hiyo watarejea Dar kumenyana na Al Ahly Desemba 2.  Gamondi amesema kuwa kila mchezo ni…

Read More

CHUMA HIKI HAPA KINAFUATA KUTAMBULISHWA YANGA

INAELEZWA kuwa nyota anayefuatwa kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga ni beki wa kazi mzawa Dickosn Job. Nyota huyo mkataba wake unakaribia kufika ukingoni ambapo mwisho wa msimu huu utakuwa umegota mwisho. Habari zinaeleza kuwa tayari viongozi wa Yanga pamoja na wale ambao wanamsimamia Job wamefanya mazungumzo na kufika kwenye maelewano mazuri. Job ni chaguo…

Read More

NNAUYE:USHINDI WA SIMBA NI MUHIMU KWA NCHI

NAPE Nnauye,Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari amesema kuwa ushindi wa leo kwa Simba ni muhimu kwa nchi. Simba ina kibarua cha kusaka pointi tatu muhimu mbele ya USGN mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni hatua ya makundi. Nnauye anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa leo unaotarajiwa kuchezwa saa 4:00 usiku. Kiongozi…

Read More

SIMBA YATAJA KILICHOWAPONZA KAITABA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa walikuwa na nafasi kubwa ya kupata matokeo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar nafasi hawakuzitumia. Ubao wa Uwanja wa Kaitaba umesoma Kagera Sugar 1-1 Simba baada ya dakika 90 ambapo Simba walianza kufunga kwenye mchezo wa leo. Ladack Chasambi alifungua akaunti ya…

Read More