AMELETA MGOMO HUKO KIUNGO LUIS

KIUNGO wa Simba Luis ambaye kiwango chake kimeporomoka kutokana na kutocheza kwa muda mrefu inaelezwa kuwa yupo kwenye mpango wa kuwekwa kando. Inatajwa kwamba Simba mpango wao ni kumtoa kwa mkopo kwenye moja ya timu ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara

Read More

AGGY SIMBA: YANGA HAWATAKI CHAMA AONDOKE SIMBA

AGGY Simba ameweka wazi kuwa miongoni mwa wanaopenda kuona Clatous Chama anabaki ndani ya kikosi cha Simba ni watani zao wa jadi jambo ambalo linajulikana sababu. Aggy Simba ameweka wazi kuwa wanawachezaji wazuri ambao wanapewa nafasi na usajili ambao unafanyika kwa sasa hivyo watafanya usajili mzuri ambao utakuwa imara

Read More

TAIFA STARS NDANI YA MISRI TAYARI KWA KAZI

JANUARI 2 2024 Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imewasili salama jijini Cairo, Misri kwa ajili ya kambi ya wiki moja kujiandaa na Afcon 2023. Mashindano hayo makubwa yanatarajiwa kuanza Januari 13 hadi Februari 11 nchini Ivory Coast. Taifa Stars   imepangwa kundi “F” ikiwa na Morocco, Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo…

Read More

OKRA KUANZA KAZI RASMI YANGA

BAADA ya kukamilisha usajili wa winga Mghana, Augustine Okra leo anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi kitakachoanza kucheza kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2024. Okra alizua gumzo kwenye mchezo wa funga mwaka 2023 kwa Yanga dhidi ya Jamhuri ambapo baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Jamhuri 0-5 Yanga. Leo Yanga inatarajiwa…

Read More

INGIZO JIPYA SIMBA LIMEANZA NA BALAA

UKIWA ni mchezo wake wa kwanza akiwa na kikosi cha Simba, Saleh Karabaka alifungua ukurasa wake wa mabao katika Mapinduzi Cup 2024. Ingizo hilo jipya dirisha dogo alikuwa anakipiga JKU hivyo alianza kazi mbele ya mabosi wake wa zamani akisaini dili la miaka mitatu. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma JKU 1-3 Simba ambapo ni…

Read More

SIMBA YATAMBULISHA NYOTA WAKE WA KWANZA

RASMI Klabu ya Simba imekamilisha usajili wa kiungo, Saleh Karabaka kutoka JKU ya Visiwani Zanzibar kwa mkataba wa miaka mitatu. Karabaka mwenye umri wa miaka 23 anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Simba SC katika dirisha hili dogo la usajili. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na waajiri wake hao wapya, Karabaka tayari amejiunga na kikosi…

Read More

HERI YA MWAKA MPYA 2024

JANUARI Mosi,2024 Neema ya Mungu imetuzunguka na kutufanya tuwe hapa kwa wakati mwingine katika hili tunapaswa kusema asante. Hakika ni wakati mwingine mzuri kwa ajili ya kuanza kupambania malengo ambayo yalianza kuandikwa tangu wakati ule unapambania yale unayohitaji. Kwenye ulimwengu wa mpira kila timu imefunga kwa mpango wake katika mechi za funga mwaka na wengine wana kazi…

Read More

CHASAMBI KUIBUKIA SIMBA

INAELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye hesabu za kukamilisha usajili wa nyota Ladack Chasambi ambaye yupo ndani ya Mtibwa Sugar. Nyota amekuwa kwenye rada za Simba na Yanga ambapo kila mmoja amekuwa akimvutia kasi kunasa saini yake. Hata hivyo Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba aliweka wazi kuwa usajili wao…

Read More

YANGA YAJIVUNIA JEMBE JIPYA, KAZI IPO

MGENI mwenyeji, Okra Magic ni mali ya Yanga yeye ni winga raia wa Ghana ambapo anajiunga na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond kwenye dirisha dogo. Desemba 31 2023 Okrah alitambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi, Zanzibar. Katika mchezo wa funga 2023 ubao baada ya dakika 90…

Read More

AZAM FC YASHUSHA MTAMBO MWINGINE WA KAZI

MATAJIRI wa Dar  Azam FC rasmi Desemba 31 wametangaza kufikia makubaliano na Klabu ya El Marreikh kwa ajili ya kumsajili kipa wao wa kimataifa wa Sudan, Mohamed Mustafa. Kipa huyo amepewa dili la mkataba wa miezi sita ambapo atakuwa kwenye viunga vya Azam Complex kwa mkopo. Kipa huyo anatarajiwa kuwa kwenye majukumu yake katika kikosi…

Read More

AZAM FC WAFUNGA DESEMBA KIBABE

DESEMBA imekuwa bora kwa Azam FC baada ya tuzo kuelekea Azam Complex kutoka Kamati ya Tuzo ya Shirikisho là Mpira w Miguu Tanzania, (TFF). Ni Kipre Junior amechaguliwa kuwa mchezaji bora aliwazidi Prince Dube wa Azam FC na Aziz KI wa Yànga. Mbali na Kipre ambaye alihusika kàtika mabao manne kwenye michezo mitatu ndani ya…

Read More