NGOMA NZITO, POLISI TANZANIA YAWAPIGA MKWARA YANGA

MABINGWA watetezi wa Kombe la Azam Sports Federation Yanga leo wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa raundi ya tatu. Februari 19 kuna mechi ambazo zilichezwa katika raundi ya tatu na matokeo ilikuwa  Coastal Union 1-0 Mbeya Kwanza,  Singida FG 2-0 FGA Talents na Dodoma Jiji 2-1 Biashara United leo ni zamu ya Yanga. Ali…

Read More

SIMBA WANAWAFUATA ASEC MIMOSAS NAMNA HII

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas wawakilishi Simba wamebainisha kwamba maandalizi yapo tayari na mpango wao ni kupata matokeo mazuri. Mchezo huo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Februari 23 siku ya Ijumaa kwenye msako wa pointi tatu kwenye mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Meneja wa…

Read More

FREDDY NA GUEDE HAPA VIPI? CHAMA AFUTA MABAO YAKE

Freddy na Guede hapa VIPI? Clatous Chama mwamba wa Lusaka amefuta mabao yake yote Soma Gazeti la Championi kwa urahisi mtandaoni kupitia Global App: https://globalapp.co.tz Au M-Paper: https://shorturl.at/dxABL Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa Gusa link hii kusoma Gazeti la Championi leo Jumatatu Feburuari 19, 2024 kila siku kupitia link hii…

Read More

TABORA UNITED WATUMA UJUMBE HUU AZAM FC

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Goran Kopunovic amebainisha kwamba mchezo wao dhidi ya Azam FC hautakuwa mwepesi kutokana na wapinzani wao kuwa imara kwenye kusaka matokeo. Ipo wazi kuwa Azam FC ipo nafasi ya tatu mchezo wao uliopita wa kufunga mzunguko wa kwanza walipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Geita Gold mchezo uliochezwa Uwanja…

Read More

MERIDIANBET SEHEMU PEKEE YA KUPIGA MKWANJA LEO

Usihangaike kwenda popote sehemu ni moja tu yenye ODDS za uhakika na kubwa Meridianbet ndio mahali unaweza weka mkeka wako na kujipigia mkwanja bila wasiwasi, Hivo wewe mteja kupitia michezo mikali itakayopigwa leo nafasi yakupiga mkwanja na mabingwa wa hao wa michezo ya kubashiri ipo nje nje. Michezo hiyo itapigwa kuanzia ligi kuu ya Uingereza,…

Read More

KMC 0-3 YANGA, JAMHURI, MOROGORO

FT: Uwanja wa Jamhuri, Morogoro KMC 0-3 Yanga Goal Pacome dakika ya 60 Goal Muadthir Yahya dakika ya kwanza, 53 Bao la mapema zaidi kwa Yanga ndani ya Ligi Kuu Bara limefungwa mzunguko wa pili na Mudathir Yahya Uwanja wa CCM Kirumba dakika ya kwanza. Ikumbukwe kwamba bao la kwanza kwenye mzunguko wa kwanza lilifungwa…

Read More