Home Sports KIUNGO HUYU YANGA ANA BALAA UWANJANI

KIUNGO HUYU YANGA ANA BALAA UWANJANI

KHALID Aucho kiungo wa Yanga anabalaa akiwa uwanjani kwa kutembeza mikato ya kimyakimya jambo ambalo wakati mwingine limekuwa tatizo kwa wachezaji wa timu pinzani ni muhimu akaongeza umakini licha ya kuwa ni namba sita

Previous articleTABORA UNITED WATUMA UJUMBE HUU AZAM FC
Next articleFREDDY NA GUEDE HAPA VIPI? CHAMA AFUTA MABAO YAKE