TWAHA KIDUKU NA KABANGU MIKWARA YATAWALA

MABONDIA Twaha Kiduku na Alex Kabangu leo wamekutana kwa mara kwanza na kila mmoja kumchimba mkwara mwenzake kuelekea katika pambano la ubingwa wa UBO Afrika linalotarajia kupigwa keshokutwa Jumamosi mkoani hapa. Kiduku na Kabangu watapanda ulingoni katika pambano hilo ambalo litachezwa kwa raundi nane katika uzito wa kati ambalo litapigwa kwenye Ukumbi wa Tanzania chini…

Read More

HESABU ZA SIMBA KUTINGA FAINALI KIMATAIFA IPO HIVI

HUKU wakiwa kwenye maandalizi ya mchezo wao wa tano wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas, Nahodha Msaidizi wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amesema kama wakifanikiwa kufuzu robo fainali ya michuano hiyo, basi watakuwa kwenye nafasi kubwa ya kufika fainali. Simba inaongoza Kundi D la Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

NG’OMBE WA MAYELE ATUA DAR LEO

SHABIKI wa Yanga  kutoka Morogoro aliyeahidi kumzawadia mchezaji Fiston Mayele Ng’ombe mmoja baada ya kufunga bao katika mechi dhidi ya Mtibwa Sugar, ametimiza ahadi na kumfikisha Ng’ombe huyo leo Machi 14, 2022. Ni katika makao makuu ya Klabu ya Yanga, Jangwani jijini Dar es Salaam zawadi imefika kwa ajili ya kutimiza ahadi ya muda kidogo….

Read More