MIPANGO MIKUBWA YA USAJILI YANGA NI KIMATAIFA
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umeweka wazi kuwa msimu ujao malengo yao ni kufanya vizuri kwenye michuano ya ndani na ile ya kimataifa wanayotarajia kushiriki kutokana na kuwa kwenye nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2021/22. Yanga inahitaji pointi tatu ili kutwaa ubingwa wa ligi pia imetinga Fainali ya Kombe la…