Meneja Mkuu Simba SC awasili Dar tayari kwa kazi

Meneja Mkuu Dimitar Pentev amewasili Tanzania akitokea Botswana kwa ajili ya kuanza kazi kukifundisha kikosi cha Simba SC. Pentev ameongozana na msaidizi wake, Boyko Kamenov ambaye watafanya naye kazi kwa ushirikiano mkubwa na Seleman Matola katika benchi la ufundi. Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC, Ahmed Ally ameweka wazi…

Read More

Kocha mpya Simba SC kutua leo Bongo

BAADA ya kutambulishwa ndani ya kikosi cha Simba SC kuwa mrithi wa mikoba ya Fadlu Davids, kocha mpya anatarajiwa kuwasili Bongo mapema Oktoba 4 2025. Anaitwa Dimitar Pantev mwenye miaka 49 yeye ni raia wa Bulgaria ambaye alitambulishwa rasmi Oktoba 3 2025 kuwa ni kocha ndani ya kikosi hicho. Kabla ya kutmbulishwa Simba SC alikuwa…

Read More

Huyu hapa atajwa kurithi mikoba ya Fadlu Davids Simba SC

INAELEZWA kuwa Bulgaria Dimitar Pantev mwenye miaka 49 huenda akapewa mikoba ya kukinoa kikosi cha Simba SC ambacho kwa sasa hakina kocha mkuu. Taarifa zinaeleza kuwa muafaka mzuri umefikiwa kwa pande zote mbili ambapo mpango kazi ukikamilika atakuja Tanzania kuchukua nafasi ya Fadlu Davids aliyepata dili Raja Casablanca na tayari ameanza kazi. Inaelezwa kuwa Simba…

Read More

FIFA Yazindua Mpira Mpya “Trionda” kwa Kombe la Dunia 2026

  Shirikisho la soka Duniani, FIFA, limezindua mpira utakaotumika katika Michuano ya Kombe la Dunia 2026 uliopewa jina la Trionda ambapo una teknolojia maalumu. Mpira huo unaitwa ‘Trionda’ -neno la Kihispania linalomaanisha mawimbi matatu ikiwa ni ishara kwamba Kombe la Dunia litaandaliwa na nchi tatu. Mpira huo una rangi tatu, nyekundu, Kijani na Bluu, zikiwakilisha…

Read More

Yahya Zayd Aongeza Mkataba Mpya Azam FC Mpaka 2027

Klabu ya Azam FC imeweka wazi kuwa imefanikiwa kumsainisha kiungo wake mahiri, Yahya Zayd, mkataba mpya wa miaka miwili. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu, nyongeza hiyo itamfanya Zayd kuendelea kuwatumikia Wanalambalamba hadi mwaka 2027, hatua ambayo inaonyesha dhamira ya klabu hiyo kuendelea kuimarisha kikosi chake kwa wachezaji waliodumu na wenye mchango mkubwa. Mkataba huo…

Read More

Nasreddine Nabi kuifundisha Simba SC?

JINA la Nasreddine Nabi aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC na kuipa mataji mawili ya Ligi Kuu Tanzania Bara linatajwa kuwa katika orodha ya wale wanaoipigiwa hesabu kupewa mikoba ya Fadlu Davids ndani ya Simba SC. Kwa sasa Simba SC ipo kwenye mchakato wa kumtafuta kocha mpya baada ya Fadlu Davids kupata changamoto nyingine…

Read More

Simba SC 3-0 Namungo FC, Uwanja wa Mkapa

Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba Mosi 2025. Mabao ya Simba SC yamefungwa na Chamou Karabou dakika ya 43 akitumia pasi ya Joshua Mutale ambaye aligipa kona, dakika ya 60 kupitia kwa Rushine De Reuck ambaye alimalizia…

Read More