Bayern, Juve, Barca, Liverpool… Mechi Zote Leo Zipo Meridianbet – Chagua Ushindi Wako!

Huku wikendi ikiendelea kuwa ya moto, wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa unaweza kumiliki gari ya ndoto yako kwa kubashiri hapa pekee kwani kuna machaguo unayoyataka. LALIGA kule Hispania kitawaka pia, FC Barcelona atakipiga dhidi ya Athletic Bilbao ambao wanashika nafasi ya 7 huku Barca wao wakiwa nafasi ya 2. Ushindi huu ni muhimu…

Read More

Simba SC yapiga hesabu kumalizana na Petro de Luanda

Simba SC vs Petro de Luanda Novemba 23,2025 Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa kwanza hatua ya makundi, uongozi wa wenyeji umepiga hesabu kuvuna pointi tatu. Kutoka kundi D mchezo wa kwanza Simba SC itakuwa nyumbani na tayari Novemba 20,2025 walizindua jezi mpya ambazo zitatumika kwenye mashindano hayo zikiwa na nembo ya CAF. Ahmed…

Read More

Hii Hapa Orodha ya Washindi wa Tuzo za CAF 2025 Zilizofanyika Morocco

Sherehe za utoaji wa Tuzo za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zimefanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji, makocha, marefa na timu mbalimbali zikitambuliwa kwa mafanikio ya mwaka. Mwaka huu Morocco imeendelea kung’ara kwa namna ya kipekee katika tuzo nyingi, huku Afrika Mashariki pia ikipata mwakilishi kupitia bao la mwaka. Washindi wa Tuzo…

Read More

Shinda Samsung A26 Leo Jumatano kwa Kubashiri Rahisi Kupitia *149*10#

Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…

Read More

Tvbet Na Meridianbet Kubadili Jinsi Wabashiri Wanavyoburudika Mtandaoni

Kasino mtandaoni imepata sura mpya nchini, na hilo linathibitishwa na Meridianbet kupitia kuanzishwa kwa TVBET, jukwaa linaloleta burudani ya kiwango cha juu kwa mchezaji wa kisasa. Katika zama ambazo watu wanataka kila kitu kiwe haraka, halisi na kinachopatikana kirahisi, TVBET imekuja kujibu mahitaji hayo kwa mtindo wa kipekee. Tofauti kubwa ya TVBET iko kwenye nguvu…

Read More

Yanga SC kuzindua uzi mpya leo Novemba 19,2025

RASMI uongozi wa Yanga SC umetangaza kuwa utazindua uzi mpya maalumu kwa ajili ya mechi za CAF Champions League leo Novemba 19,2025. Yanga SC inapeperusha bendera ya Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika ipo hatua ya makundi na mchezo wa kwanza unatarajiwa kuchezwa Novemba 22, 2025 Uwanja wa New Amaan Complex dhidi ya FAR Rabat…

Read More