Mbappé Ataka Fidia ya €263m kutoka PSG Amidani ya Mzozo wa Mkataba
Nahodha wa Ufaransa Kylian Mbappé anadai fidia ya Euro Milioni 263 (takriban TSh 743 Bilioni) kutoka kwa Paris Saint-Germain katika mzozo unaohusu mkataba wake. Awali PSG ilimshtaki Mbappé, ambaye alihamia Real Madrid mwaka jana, ikidai ilipwe Euro 240 Milioni (takriban TSh 677.3 bilioni), baada ya kukataa uhamisho wa kwenda katika timu ya Al Hilal ya…