SIMBA QUEENS KUVAANA NA JKT QUEENS LEO
SIMBA Queens leo Februari 4 inatarajiwa kuwa na mchezo wa kusaka pointi tatu mbele ya JKT Tanzania. Huu ni mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Bunju Complex. Ni saa 10:00 jioni mchezo unatarajiwa kuchezwa kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu. Simba Queens mchezo wake uliopita ilikuwa dhidi ya Mlandizi Queens…