Sports
WASHIKA BUNDUKI WAMECHANA MKEKA
KICHAPO cha mabao 2-0 wakiwa ugenini kimewapunguza kasi washika bunduki kuigusa Top 4 kutokana na kuachwa pointi na wale walio nafasi ya nne. Ni Tottenham ipo nafasi ya nne ikiwa na pointi 68 baada ya kucheza mechi 37 ikiwa ni tofauti ya pointi mbili na Arsenal. Ben White alijifunga dk ya 55 ya mchezo ilikuwa…
SIMBA SC YAPIGWA FAINI KWA KUFANYA ‘TAMBIKO HATARISHI’
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeipiga faini ya Dola za Marekani 10,000 (zaidi ya Tsh. Milioni 23) Klabu hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kufanya ‘tambiko hatarishi’ katika mchezo dhidi ya Orlando Pirates Kabla ya mchezo huo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho, Wachezaji wa Simba walionekana kukusanyika katikati ya uwanja na baadaye moshi…
SAUTI:YANGA YASHUSHA MBADALA WA FEI TOTO
IMEELEZWA kuwa vinara wa Ligi Kuu Bara Yanga wapo kwenye hesabu za kumshusha mbdala wa Fei Toto
YANGA:SIMBA WALIJIPOTEZEA UBINGWA WENYEWE
MWINYI Zahera,Mkurugenzi wa Maendeleo ya Soka la Vijana ndani ya Yanga amesema kuwa Simba wamejipotezea ubingwa wa ligi weyewe baada ya kushindwa kuwafunga vinara wa ligi. Ni Yanga wanaongoza wakiwa na pointi 60 baada ya kucheza mechi 24 waliweza kufikisha pointi hizo baada ya ushindi mbele ya Dodoma Jiji kwa mabao 2-0 Uwanja wa Jamhuri,Dodoma….
MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa ukurasa wa nyuma gazeti la Spoti Xtra Jumanne
FAINALI KUPIGWA ARUSHA,YANGA NA SIMBA MWANZA
MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho Simba wanatarajia kumenyana na Yanga kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali Mei 28. Yanga walikuwa wa kwanza kuweza kukata tiketi kwa ushindi mbele ya Geita Gold kisha Simba wakafuata kwa ushindi mbele ya Pamba kwenye mchezo wa nusu fainali ya pili. Mechi zote zilichezwa Uwanja wa Mkapa na…
SIMBA YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA AZAM FC
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa kesho Mei 18 Uwanja wa Azam Complex. Azam FC imetoka kupoteza mchezo wake wa ligi mbele ya Mbeya City kwa kufungwa mabao 2-1 Uwanja wa Sokoine, Mbeya, inakwenda kukutana na…
AZAM FC WAANZA KUIWINDA SIMBA
ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa wanafanya maandalizi kwa ajili ya mchezo wao ujao dhidi ya Simba. Azam FC inakumbuka kwamba kwenye mchezo wao uliopita dhidi ya Simba ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 hivyo itakuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi mbele ya wapinzani wao. “Tulitoka Mbeya ambapo mchezo wetu ule…
INONGA APEWA KAZI NYINGINE
BEKI wa kazi chafu ndani ya kikosi cha Simba, Henock Inonga amebebeshwa zigo jipya la kazi ndani ya kikosi hicho na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu,Pablo Franco. Jukumu hilo jipya kwa sasa ni lile la kuweza kuichezesha timu na kugawa mipira kwa wachezaji wenzake kwenye mechi ambazo anacheza huku akiwa na kazi ya…
MAYELE:MABEKI WANATAKA NISIFUNGE
FISTON Mayele,mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa mabeki wengi kwa sasa wamekuwa wakimkamia ili asifunge kila anapocheza. Mayele msimu huu wa 2021/22 akiwa ndani ya kikosi cha Yanga amehusika kwenye mabao 15 kati ya 38. Ametupia mabao 12 na kutoa pasi mbili za mabao hajafunga kwenye mechi nne za ligi msimu huu na kumfanya awe sawa…
LIGI KUU BARA RATIBA
LIGI Kuu Bara inaendelea leo Mei 16 ikiwa ni mzunguko wa pili wa lala salama kwa timu kuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu uwanjani. Ruvu Shooting yenye pointi 25 inatarajiwa kusaka ushindi mbele ya KMC yenye pointi 27 kibindoni. Tanzania Prisons yenye pointi 23 ina kibarua mbele ya Kagera Sugar yenye pointi 29 kibindoni….
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
SAUTI:SIMBA YAMVUTIA KASI MCAMEROON ILI KUINASA SAINI YAKE
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye hesabu za kuinasa saini ya mshambuliaji raia wa Cameroon ambaye yupo kwenye hesabu za kutua ndani ya Simba msimu ujao kutokana na safu yao ya ushambuliaji inayoongozwa na Meddie Kagere, John Bocco na Chris Mugalu kushindwa kuwa kwenye ubora.
FT:DODOMA JIJI 0-2 YANGA,UWANJA WA JAMHURI,DODOMA
WAKIWA Uwanja wa Jamhuri,Dodoma leo Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 Dodoma Jiji na kufanya waweze kusepa na pointi tatu. Ni mabao ya Dickosn Ambundo dk ya 11 na bao la pili lilifungwa na kipa wa Dodoma Jiji,Mohamed Yusuph dk ya 35 katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na Zawad Mauya jamo lililomfanya ajifunge….
KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA DODOMA JIJI HIKI HAPA
KIKOSI cha Yanga kinachotarajiwa kuanza kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji leo Mei 15,2022 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Kete ya Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi ipo namna hii:- Djigui Diarra Djuma Shaban Kibwana Shomari Bakari Mwamnyeto Dickson Job Zawad Mauya Sure Boy Jesus Moloko Ambundo Feisal Salum Mayele
HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA
MOTO wa Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa timu kusaka ushindi ndani ya uwanja ikiwa ni mzunguko wa pili. Mbeya City watakuwa na kazi ya kuikabili Polisi Tanzania, Uwanja wa Sokoine. Mtibwa Sugar watakuwa na kibarua mbele ya Coastal Union, Uwanja wa Manungu. Dodoma Jiji itamenyana na Yanga, Uwanja wa Jamhuri