NABI ANATAKA MABAO YA MAPEMA NDANI YA YANGA

KATIKA kuwavuruga wapinzani wao katika Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi amesema kuwa anahitaji mabao ya ndani ya dakika 10 ili kuweza kujenga hali ya kujiamini. Hiyo ni moja ya mikakati yake mipya atakayokuja nayo mara baada ya kurejea katika ligi watakapovaana dhidi ya KMC Machi 16, mwaka huu…

Read More

YANGA KUCHEZA MCHEZO WA HISANI KESHO AZAM COMPLEX

KLABU ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunissia kesho, Jumamosi Machi 12 inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya taifa ya Somalia. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa  Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku ikiwa ni sehemu ya mandalizi ya mchezo wao ujao wa ligi dhidi ya KMC….

Read More

SIMBA YAPANIA KUWAFUNGA RS BERKANE KWA MKAPA

BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba SC, amesema wapinzani wao RS Berkane kwenye mchezo unaoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumapili hii, hawatatoka salama. Simba inatarajiwa kumenyana na RS Berkane ya Morocco kwenye mchezo wa nne wa Kundi D, wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo uliopita ugenini kwa kufungwa mabao 2-0. Barbara amebainisha kuwa, kwa maandalizi…

Read More

MUACHENI AIR MANULA AWE AIR KWENYE KAZI

AISHI Manula, ‘Air Manula’ kipa namba moja wa Simba ni Air Manula kwelikweli kama anavyopenda kuitwa kwa kuwa amewafunika makipa wote kwa upande wa kucheza mechi nyingi na kuwa namba moja kufungwa mechi chache. Pongezi kubwa kwa ukuta wa Simba unaongozwa na Joash Onyango pamoja na Henock Inonga ambao umeweza kumshuhudia kipa wao akiokota mabao…

Read More

MTAMBO WA MABAO YANGA UPO KAMILI GADO

FISTON Mayele, nyota wa kikosi cha Yanga yupo kamili gado kwa ajili ya mwendelezo wa mechi za ushindani ya Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Shirikisho. Mayele alipata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Kwenye mchezo huo Mayele alikwama kuyeyusha dakika 90 na aliweza…

Read More

MAYELE ATAJWA KUINGIA RADA ZA KAIZER CHIEFS

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini inataka kumsajili mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Fiston Mayele (27) ili akawe mbadala wa mshambuliaji wao, Sebia Samir Nurković (29) ambaye huenda akaondoka mwishoni mwa msimu huu. Mayele amekuwa na kiwango bora ndani ya kikosi cha Yanga ambapo mpaka sasa amefunga jumla ya mabao 10 na…

Read More

VIDEO:UJUMBE WA BARBARA HUU HAPA

BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba amebainisha kwamba ni kawaida kwa Simba kuweza kuadhimisha kipekee Siku ya Wanawake Duniani ambapo Machi 8,2022 waliweza kutembelea Gereza la Wanawake pia waliwezza kutoa msaada ambapo aliweza kutoa ujumbe kwa mashabiki wa Simba pamoja na Watanzania kiujumla.

Read More

AZAM FC WAPITIA KIKOMBE CHA MATESO DK 270

KILE kikombe cha mateso ambacho wachezaji wa Simba walikuwa wanakipitia kwa muda wa dakika 270 bila kufunga kwenye mechi tatu mfululizo sasa kimebebwa jumlajumla na Azam FC. Ikumbukwe kwamba Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco ilipitia msoto huo Januari 17,2022 iliponyooshwa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kisha kikombe kikaendelea mpaka Januari 22,2022 walipotoshana…

Read More

PRISON WATENGA MECHI ZA USHINDI

KOCHA Msaidizi wa Tanzania Prisons, Shaban Kazumba ameweka wazi kwamba mechi nne zijazo mbele zitawafanya warudi kwenye ubora wao. Timu hiyo kwa sasa inatumia Uwanja wa Sokoine kama ilivyokuwa ikifanya zamani baada ya kuhamia Uwanja wa Nelson Mandela, Songea wakati walipokuwa kwenye maboresho ya kambi yao. Prisons ipo kwenye mwendo wa kusuasa msimu wa 2021/22…

Read More

SIMBA:RS BERKANE WAMEKUJA WAKATI MBAYA,MUGALU AREJEA

AHMED Ally Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa wapinzani wao wamewakuta wakiwa kamili kutokana na wachezaji wote kuwa tayari kwa mchezo huo. Simba itamenyana na RS Berkane ya Morocco katika mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 13. Ally amesema:”Taarifa ya awali kuhusu majeruhi ni kuwa Hassan Dilunga…

Read More

MAYELE HATARI YAKE KILA DAKIKA 100

KINARA wa utupiaji wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga, Fiston Mayele ana wastani wa kuwa na hatari kila baada ya dakika 100 awapo uwanjani kwenye kutupia pamoja na kutengeneza nafasi za mabao. Ndani ya Ligi Kuu Bara ameyeyusha dakika 1,301 akiwa amefunga mabao 10 na ni mabao matano ametupia Uwanja wa Mkapa huku mabao…

Read More