>

POLISI TANZANIA YAWAPIGA MKWARA MABINGWA

UONGOZI wa Polisi Tanzania umeweka wazi kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, Oktoba 27 wataendelea pale ambapo wameishia kwa kucheza pira chukuchuku ili waweze kusepa na pointi tatu muhimu. Vinara hao wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi tisa kibindoni baada ya kucheza mechi tatu na kutupia mabao matano…

Read More

MWIJAKU AHADI YAKE MPAKA MWANASHERIA

MHAMASISHAJI wa Klabu ya Simba ambaye pia ni mtangazaji Mwijaku ameweka wazi kuwa hawezi kuzungumza ishu yoyote ile kuhusu ahadi yake ya kuweza kutembea bila nguo ambayo aliweza kuiweka hivi karibuni. Shabiki huyo wa Simba aliweka ahadi kwamba ikiwa Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes itafungwa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika angeweza…

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA KASI YA YANGA

MWENYEKITI wa Simba, Murtaza Mangungu, amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia wasiogope kasi ya wapinzani wao Yanga huku akiahidi kuubakisha ubingwa wa Ligi Kuu Bara Msimbazi.   Kauli hiyo ameitoa baada ya kuiona Yanga ikiwa kileleni ikiwa na pointi tisa, ikishinda michezo yakemitatu ya ligi katika msimu huu. Simba yenyewe imecheza michezo miwili kati ya hiyo wametoka suluhu na Biashara United huku ikiwafungaDodoma Jiji bao 1-0, lililofungwa na Mnyarwanda, Meddie Kagere. “Mechi…

Read More

SENZO AKUBALI UWEZO WA NABI

KAIMU Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Yanga, Senzo Mbatha Mazingisa amesema kuwa kila sikuanazidi kufurahishwa na utendaji kazi na juhudi kubwa inayoonyeshwa na wachezaji wa timu hiyo kuwa ni kazikubwa inayofanywa na benchi la ufundi chini ya kocha Nabi. Katika msimu huu, Yanga ilianza kwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii na hadi sasa Yanga imekaa kileleni katika msimamo wa ligi Kuu kwa pointi tisa katika michezo yote mitatu iliyocheza.  Senzo amesema kuwa shukrani…

Read More

HAJI MANARA AFUNGUKIA ISHU YA TUZO

OFISA Habari wa Yanga, Haji Manara amefunguka baada ya kubwagwa kwenye tuzo za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) msimu wa 2020/21, kipengele cha Muhamasishaji Bora. Tuzo hiyo ilikwenda kwa shabiki kindakindaki wa Taifa Stars, Nick Renold maarufu kama Bongo Zozo, ambaye aliwashinda Manara na Masau Bwire wa kKlabu ya Ruvu Shooting. Manara ambaye alikuwa akiwania…

Read More

HAJI MANARA ATUMA DONGO KIMTINDO SIMBA

BAADA ya kikosi cha Simba kufungashiwa virago leo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wakiwa Uwanja wa Mkapa kwa kufungwa mabao 3-1 Haji Manara alaiyekuwa Ofisa Habari wa timu hiyo ametupa dongo kimtindo. Manara kwa sasa yupo zake ndani ya Yanga akiwa no Ofisa Habari wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa…

Read More

SIMBA YATUPWA NJE LIGI YA MABINGWA AFRIKA

  TIMU ya Simba imetolewa rasmi kwenye michuano ya Ligi Mabingwa Afrika baada ya kufungwa Jwaneng Galaxy kwa mabao 3-1, mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.   Simba ambayo ilianza vema kipindi cha kwanza ilienda mapunziko ikiwa mbele kwa bao 1-0 goli la Larry Bwalya, lakini Galaxy waligeuza kibao kupachika magoli 3.   Matokeo…

Read More

SIMBA YAPEWA ONYO NA YANGA KIMATAIFA

KOCHA wa Yanga Princes Mohamed Hussein, ‘Mmachinga’ amewapa onyo Simba kuelekea mchezo wao wa leo Oktoba 24 dhidi ya Jwaneng Galax kwa kuwataka kucheza kwa kujilinda na kusaka ushindi mapema ili kuongeza hali ya kujiamini. Akizungumza na Saleh Jembe, Mmachinga alisema kuwa ushindi wa ugenini ni ishara mbaya kwamba hata wao wanaweza kufungwa wakiwa nyumbani…

Read More

AKILI KUBWA KUIMALIZA JWANENG GALAXY KWA MKAPA

BENCHI la ufundi la Simba limebainisha kuwa kazi bado inaendelea kuelekea kwenye mchezo wao wa marudio dhidi ya Jwaneng Galaxy unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa leo. Katika mchezo wa uliochezwa Uwanja wa taifa wa Botswana, Simba ilishinda kwa mabao 2-0 hivyo ina mtaji wa mabao kibindoni jambo linalowapa hali ya kujiamini kuelekea kwenye mchezo wao…

Read More

NDAYIRAGIJE AFUNGASHIWA VIRAGO GEITA GOLD

ETIENNE Ndayiragije anakuwa kocha wa kwanza kuchimbishwa ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 ambapo alikuwa ni Kocha Mkuu wa Geita Gold. Taarifa iliyotolewa na Geita Gold imeeleza kuwa ni makubaliano ya pande zote mbili baada ya kocha huyi kushindwa kufikia malengo ambayo yapo kwenye makubaliano. Kwa sasa timu hiyo ambayo jana Oktoba 23…

Read More

PACHA YA BANGALA,JOB NA DJUMA YAJIBU YANGA

PACHA ya nyota watatu ambao ni mabeki ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imejibu baada ya kuweza kucheza kwenye mechi tatu ambazo ni sawa na dakika 270 bila kuokota mpira nyavuni. Ndani ya Ligi Kuu Bara, Yanga imecheza mechi tatu ambapo ile ya kwanza ilikuwa mbele ya Kagera Sugar, Uwanja…

Read More

BOCCO AWEKA REKODI,KIBU MAJANGA MATUPU

  WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa, nyota wawili wa Simba waliweka rekodi zao za kipekee.   Ni nahodha John Bocco ambaye ni mchezaji bora wa msimu wa 2020/21 na mshikaji wake Kibu Dennis katika suala…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA JWANENG GALAX

OKTOBA 24 leo kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes kinatarajiwa kuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Jwaneng Galaxy ambao utakuwa ni wa marudio. Katika mchezo wa kwanza, Simba ilishinda mabao 2-0 hivyo leo ina kazi ya kulinda ushindi wake pamoja na kusaka ushindi ili kuongeza nafasi…

Read More

SIMBA WAPO TAYARI KIMATAIFA

  HITIMANA Thiery, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Jwaneng Galax ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa ambapo utakuwa ni wa marudio baada ya ule wa awali Simba kucheza ugenini nchini Botswana. Ilikuwa ni Oktoba 17 ambapo Simba…

Read More

KMC WAGAWANA POINTI MOJAMOJA NA NAMUNGO,ILULU

WAKIWA Uwanja wa Ilulu, leo Oktoba 23 Wanakinoboys wamegawana pointi mojamoja na Namungo FC kwa kufungana bao 1-1. Kwa upande wa KMC ni mshambuliaji wao Charles Ilanfya alipachika msumari wa kwanza ilikuwa dakika ya 30 na lilidumu kwa muda wa dakika 12 kwa kuwa dakika ya 43 Shiza Kichuya alipachika bao kwa mkwaju wa penalti….

Read More

JEMBE LA KAZI YANGA LAANZA MATIZI

MABINGWA wa kihistoria Yanga wameendelea na mazoezi kwa ajili ya kuivutia kasi Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 30. Ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imeendelea kujiweka sawa ambapo katika program wanazofanya kwa sasa ni pamoja na ile ya kuwa GYM kupiga matizi. Mbali na mazoezi…

Read More