
YANGA SC YATIBUA REKODI YAO LIGI KUU BARA
Yanga SC msimu wa 2024/25 wamevunja rekodi ya mabao yakufunga katika mechi za Ligi Kuu Bara ambayo waliiandika msimu wa 2023/24. Yanga SC ilifunga mabao 71 baada ya mechi 30 na ilitwaa ubingwa wa ligi hivyo ni mabingwa watetezi. Msimu wa 2024/25 baada ya mechi 28, Yanga SC imefunga jumla ya mabao 76 ongezeko la…