YANGA YAKWEA PIPA KUWAFUATA MBEYA KWANZA
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Novemba 28 kimekwea pipa kwa ajili ya kuelekea Mbeya. Ni Air Tanzania itawafikisha Mbeya kwa ajili ya kuweza kuanza kufanya maandalizi ya mwisho baada ya jana Novemba 27 kufanya mmazoezi kwa mara ya mwisho kambini Kigamboni kabla ya leo kusepa. Mchezo wao wa ligi unatarajiwa…