PAMBA SC KUSHUSHA MAJEMBE YA KAZI

UONGOZI wa Pamba SC yenye maskani yake Mwanza umeweka wazi kwamba utaongeza majembe mapya ya kazi kwenye usajili wa dirisha dogo. Usajili wa dirisha dogo unatarajiwa kufunguliwa Desemba 15 kwa ajili ya timu kuweza kufanya usajili ili kuweza kuongeza nguvu kwenye timu zao. Kwa mujibu wa Katibu wa Pamba SC, Jonson James amesema kuwa watasajili…

Read More

SIMBA WAPIGWA MKWARA, WAAMBIWA WASUBIRI

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Mganda, Khalid Aucho, amesema kuwa hataki kuuzungumzia mchezo wa Kariakoo Dabi na kikubwa yeye anataka kuonyesha ubora na uwezo wake uwanjani kesho Jumamosi.   Hiyo ni katika kuelekea mchezo ujao wa dabi utakaozikutanisha Simba na Yanga kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar. Mganda huyo alikuwa nje ya uwanja kwa wiki moja…

Read More

SIMBA: KUCHEZA NA YANGA KAMA TIMU YA DARAJA LA KWANZA

KUELEKEA katika mchezo wa Derby ya Kariakoo, Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu, amefunguka kuwa kwa namna alivyowatazama Yanga, anaamini Simba itaibuka na ushindi wa mapema. Kesho Desemba 11,2021 Simba itakuwamwenyeji wa Yanga, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara katika Uwanja wa Mkapa, Dar.  Mangungu alisema kwenye mchezo wa kesho timu hiyoinaingia uwanjani kucheza mchezo wa ligi bila hofu kwani hawaitambui Yanga tena kama wapinzani wao hivyo wanaenda kucheza na timu kama zile za daraja la…

Read More

YANGA:SIMBA WEPESI TU

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Yusuph Athuman, amesema kuwa kama watafanikiwa kujitoa kwa moyo wote katika mchezo dhidi ya Simba, basi anaona wakipata ushindi katika mchezo huo. Yanga kesho Jumamosi wanatarajiwa kupambana na Simba kwenye mchezo wa ligi kuu katika Uwanja wa Mkapa.  Mshambuliaji huyo amesema kuwa anaiona mechi dhidi ya Simba ikiwa nyepesi kwao kama…

Read More

MUGALU NA LWANGA WAONDOLEWA KWENYE MIPANGO YA PABLO

RASMI Kocha Mkuu wa Simba, Mhispania, Franco Pablo, amemuondoa mshambuliaji Chris Mugalu na kiungomkabaji, Taddeo Lwanga katika mfumo wake kuelekea Kariakoo Dabi itakayowakutanisha Simba dhidi Yangakesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Nyota hao wote wapo nje ya uwanja kwa muda mrefu wakiuguza majeraha ya goti wote wawili. Mmoja wa mabosi kutoka ndani ya benchi la ufundi la timu hiyo, ameliambia Championi Ijumaa kuwa wachezaji…

Read More

SENZO:HATUNA PRESHA NA SIMBA

SENZO Mbatha, Mtendaji Mkuu wa Yanga amebainisha kwamba hawana presha na watani zao wa jadi Simba kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Desemba 11. Kesho mchezo huo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa unatarajiwa kuchezwa. Mbatha amesema kuwa wanatambua kuhusu mchezo huo kwa kuwa upo kwenye ratiba hivyo watafanya maandalizi mazuri ili…

Read More

MKWANJA WAWEKWA WA KUTOSHA KWA SIMBA KISA YANGA

SIMBA inatajwa kutangaza bonasi ya Sh 1Bil kuwapa wachezaji wao kama wakifanikiwa kuwafunga watani wao, Yanga katika Kariakoo Dabi. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu mabosi wa Yanga watangaze bonasi ya Sh 1Bil kama wakifanikiwa kuwafunga Simba katika dabi hiyo inayotarajiwa kupigwa Jumamosi hii saa 11:00 jioni kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Taarifa zimeeleza kuwa Wadhamini wa timu…

Read More

HUYU HAPA ATAJWA KUWA MBADALA WA DIARRA YANGA

INASEMEKANA Yanga imemfuata rasmi kipa namba moja wa Mtibwa Sugar, Abuutwalib Mshery kwa ajili ya kumsajili katika dirisha dogo msimu huu kuwa mbadala sahihi wa Djigui Diarra. Wakati Yanga ikimfuata Mshery, ina mpango wa kuachana na kipa wake, Ramadhani Kabwili ambaye msimu huu amekuwa hana nafasi. Mmoja wa mabosi wa Yanga, ameliambia Spoti Xtra kuwa, Yanga imepanga kumsajili kipa mzawa mwenye uwezo na uzoefu wa ligi atakayekuwa mbadala wa Diarra anayetarajiwa…

Read More

AZAM YAFUNGUKIA USAJILI WA SURE BOY YANGA

UONGOZI wa Azam FC umetoa kauli kuhusu tetesi za Kiungo wa klabu hiyo Salum Abubakar ‘Suare Boy’ kuhusishwa na mpango wa kuwa mbioni kusajiliwa ndani ya kikosi cha Yanga. ‘Sure Boy’ anayetumikia adhabu ya kusimamishwa kwa muda usiojulikana huko Azam Complex, anatajwa kuwa kwenye mpango wa kusajiliwa na Yanga wakati wa dirisha dogo la usajili,…

Read More

NABI:MIMI NI MTU WA KAZI SIO MANENOMANENO

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa yeye ni mtu wa mpira na hapendi manenomaneno. Timu hiyo kwa sasa inaendelea na maandalizi kuelekea katika mchezo wa Kariakoo Dabi ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki pamoja na wadau wa mpira. Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 19 inatarajiwa kumenyana na Simba iliyo…

Read More

YANGA:MOTO HAUZIMI

NYOTA wa Yanga, Said Ntibanzokiza ameweka wazi kuwa moto wake ambao ameuwasha ndani ya ligi hautazima kwa kuwa anamalengo makubwa katika kutimiza majukumu yake. Kwenye mabao 12 ambayo yamefungwa na timu hiyo ametupia mabao mawili na yote ni kwa mapigo huru ilikuwa mbele ya Namungo alipofunga kwa penalti na mbele ya Mbeya Kwanza alipofunga kwa…

Read More

BOSI SIMBA ABAINISHA KUWA USHINDI UPO

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’, amesema kuwa Yanga ni watoto wadogo kwa Simba na timu yao ipo tayari kuchukua alama tatu, Desemba 11. Try Again alisema wao wanauchukulia mchezo wao na Yanga kama michezo mingine wanayocheza kwenye ligi na kwamba suala la kupata ushindi kwenye mchezo huo ni…

Read More

JINA LA AUSSEMS LATAJWA NAMUNGO

IMEELEZWA kuwa benchi la ufundi la Namungo FC litafumuliwa hivi karibuni ili kuweza kupata kocha mpya kwenye kikosi hicho. Habari kutoka ndani ya Klabu ya Namungo zinasema kuwa viongozi wameanza kufanya mazungumzo na aliyekuwa kocha wa Simba na sasa anaifundisha AFC Leopards ya Kenya, Patrick Aussems kuona namna gani watampata. Inatajwa kuwa Namungo tayari wamemtumia…

Read More