YANGA WAPINDUA MEZA MBELE YA POLISI TANZANIA

 MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wamefungua pazia la Ligi Kuu Bara kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid,Arusha. Kwenye mchezo huo ambao ulikuwa ni wa kasi mwanzomwisho, mabao yalifungwa na Salum Kipemba dk ya 34 kwa Polisi Tanzania yale ya Yanga yalifungwa…

Read More

KAPOMBE:MASHABIKI WAJITOKEZE KUTUPA SAPOTI

SHOMARI Kapombe, nahodha msaidizi wa Simba amewaomba mashabiki wa Simba kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa kesho kushuhudia mchezo wao dhidi ya Geita Gold. Simba inaingia uwanjani kwenye mchezo wa kwanza wa ligi ikiwa imetoka kutunguliwa mabao 2-1 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Beki huyo ambaye hakucheza…

Read More

MAYELE CHINI YA ULINZI

KOCHA Mkuu wa Polisi Tanzania,Joslin Sharif amesema kuwa amezungumza na mabeki wake kuhakikisha kwamba hawafanyi makosa mbele ya Yanga leo kwa kumlinda mshambuliaji Fiston Mayele asije kuwaadhibu pamoja na wachezaji wengine. Mayele ni mshambuliaji namba moja ndani ya Yanga ambapo alikamilisha msimu wa 2021/22 akiwa ametupia mabao 16 na pasi nne za mabao leo anakwenda…

Read More

MAKI KWENYE KIBARUA KINGINE

 BAADA ya kupoteza mchezo wa Ngao ya Jamii kwa ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 2-1 Simba,kete ya kwanza kwa Kocha Mkuu,Zoran Maki kwenye ligi ni dhidi ya Geita Gold,utakaochezwa Jumatano, Uwanja wa Mkapa. Maki ana kibarua cha kuweza kuanza kusaka taji la Ligi Kuu Bara ambalo lipo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha…

Read More

YANGA KAZINI LEO KUIVAA POLISI TANZANIA

BAADA ya kutwaa Ngao ya Jamii kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba,Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nassredine Nabi leo Agosti 16 inafungua ukurasa kwenye Ligi Kuu Bara kwa kusaka ushindi mbele ya Polisi Tanzania. Yanga waliweza kutetea taji lao la kwanza ambalo walitwaa msimu uliopita wa 2021/22 ambapo walitwaa taji hilo kwa ushindi…

Read More

RATIBA YA MECHI ZA LEO LIGI KUU BARA

ILE burudani ambayo ilikuwa imekosekana kwa muda sasa inarejea kwa kasi ambapo ni leo Agosti 15,viwanja viwili vitakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu. Ihefu FC ya Mbeya itawakaribisha Ruvu Shooting huku Namungo FC wao watamenyana na Mtibwa Sugar ya Morogoro.  Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, Zuber Katwila imerejea kwenye ligi kwa mara nyingine baada…

Read More

MUDA WA MAANDALIZI UMEFIKA KWA SASA ILI KAZI IENDELEE

MUDA wa kazi umefika kwa kuwa kulikuwa na ule wa maandalizi kwa ajili ya msimu mpya wa 2022/23 ambao utakuwa na ushindani mkubwa. Kufika tamati wa maandalizi ya msimu uliopita inamaana kwamba sasa tunakwenda kuanza jambo lingine na  kutokana na namna ambavyo timu zimejipanga litakuwa ni jambo la maana kweli. Tayari ratiba imeshatolewa hivyo inamaanisha…

Read More