
SIMBA KUKWEA PIPA KUIBUKIA DUBAI
BAADA ya kuvuliwa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi na kurejea Dar kikosi cha Simba kinatarajia kukwea pipa leo Januari 7,2022 kuelekea Dubai. Kikosi hicho kwenye mechi mbili za hatua ya makundi ambapo kilikuwa kinasaka pointi sita kiliambulia pointi tatu. Mchezo wa kwanza ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Simba 0-1 Mlandege ambao wametinga hatua ya…