HAALAND NI MASHINE YA MABAO HUKO

MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland yuko mbioni kufuta kabisa rekodi za ufungaji za Cristiano Ronaldo na Lionel Messi katika Ligi ya Mabingwa Ulaya. Na hivi karibuni anaweza kumpita mpinzani wake mkuu kwa sasa, Kylian Mbappe katika orodha ya wafungaji bora wa muda wote. Haaland amekuwa mchezaji wa tatu kufunga mabao matano kwenye mechi moja…

Read More

ANGA LA KIMATAIFA SIMBA NA YANGA ZATESA KWA MKAPA

KWENYE anga la kimataifa wawakilishi wa Tanzania Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho wamefanya kweli kwa kukusanya pointi za kutosha Uwanja wa Mkapa. Yanga wamekimbiza kwenye kusepa na pointi ambazo ni 9 wakiwa hawajaacha hata moja katika mechi walizocheza Uwanja wa Mkapa huku Simba ikisepa na pointi sita na…

Read More

MSAKO WA VIPAJI UWE NA MWENDELEZO

MWENDELEZO mzuri kwenye uwekezaji kwa vijana unahitajika kuwa wa vitendo kwa kila timu na sio kuishia kupiga picha na porojo ambazo zinaishi kila siku. Ipo wazi kwa sasa vijana wengi wanaopewa nafasi kikosi cha kwanza kwenye timu za wakubwa wanahesibaki hasa ukiziweka kando Azam FC, Mtibwa Sugar, Ihefu na Kagera Sugar. Kuna timu ni ngumu…

Read More

MAYELE AWACHIMBA BITI ZITO TP MAZEMBE

MSHAMBULIAJI namba moja kwenye ligi akiwa na mabao 15 huku kwenye Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi akiwa na mabao matatu, Fiston Mayele amesema wanahitaji pointi kimataifa ugenini na nyumbani. Mayele raia wa DR Congo ameweka wazi kuwa kila mechi ambayo wanacheza ni muhimu kushinda ili kupata pointi tatu ambazo wanazihitaji. Ikumbukwe kwamba bao…

Read More

MANDONGA APIMA UZITO, KUPANDA ULINGONI LEO DHIDI YA LUKYAMUZI

BONDIA Karim Mandonga jana alifanikiwa kupima uzito tayari kwa pambano lake dhidi ya Kenneth Lukyamuzi, ambalo linatarajia kupigwa leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Kasarani hapa Nairobi, Kenya. Mandonga na Lukyamuzi walipima uzito jana kwenye ofisi za makao makuu ya DStv ambao wanatarajia kurusha pambano hilo lisilokuwa la ubingwa ambalo litapigwa kwa raundi nane kwenye uzani…

Read More

MERIDIANBET YATOA REFLECTOR KWA POLISI KAWE

Kampuni ya Meridianbet kila iitwayo siku hufikiria watafanya nini kwaajili ya kuwaunga mkono wanaanchi ambapo hii leo wamefika eneo la kawe ambapo linapatikana jeshi la polisi na kuweza kutoa Reflector kwa polisi wa usalama barabarani, huku Refletor hizo zikipokelewa na mkuu wa kitengo hicho SP-Shatta OCD ndiye aliyepokea vifaa hivyo. Meridianbet hurudisha kile kidogo wakipatacho…

Read More

STARS YASEPA NA POINTI DHIDI YA UGANDA UGENINI

KAZI kubwa kwa vijana imefanywa kupambania nembo ya Tanzania na kufanikiwa kupata ushindi. Ubao wa Uwanja wa Suez Canal huko Ismailia Misri baada ya dakika 90 umesoma Uganda 0-1 Tanzania. Bao pek Ni mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 nchini Ivory Coast ambapo timu zotezinasaka pointi tatu. Mchezo ambao upo wazi kwa timu zote kupata…

Read More

UGANDA 0-0 STARS

UBAO wa Uwanja wa Suez Canal huko Ismailia Misri unasoma Uganda 0-0 Tanzania. Ni mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 nchini Ivory Coast ambapo timu zotezinasaka pointi tatu. Mchezo ambao upo wazi kwa timu zote kupata matokeo kutokana na nafasi ambazo zinatengenezwa. Uganda wanaonekana kuwa imara hasa kwa kupeleka mashambulizi mara kwa mara mbele ya…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA STARS DHIDI YA UGANDA

UWANJA wa Suez Canal huko Ismailia Misri saa 11:00 jioni Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Uganda. Huu ni mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu Afcon 2023 kikosi hiki hapa kinachotarajiwa kuanza:- Aishi Manula Dickson Job Novatus Dismas Bakari Mwamnyeto Ibrahim Bacca Himid Mao Simon Msuva Mzamiru…

Read More

MKWANJA WA SIMBA KUTUMIKA KWA UMAKINI

MWENYEKITI wa Bodi ya Simba, Salim Muhene amesema kuwa  udhamini ambao wamepata kwa timu ya vijana wenye thamani ya milioni 500 ni mkubwa na watatumia fedha hizo kwa umakini mkubwa. Machi 23Klabu ya Simba iliingia mkataba wenye thamani hiyo na Kampuni ya Mobiad Afrika katika Hotel ya Serena na viongozi wa pande zote mbili walikuwepo….

Read More

BAO LA MAYELE LASEPA NA TUZO CAF

BAO alilopachika mwamba Fiston Mayele kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Monastir limechaguliwa kuwa bao bora kwa mzunguko wa tano. Nyota huyo mtambo wa mabao alipachika bao hilo kwenye mchezo uliochezwa Machi 19,2023 Uwanja wa Mkapa. Pasi ya mshikaji wake Kennedy Musonda ilikutana na Mayele aliyekuwa nje kidog ya 18 akaachia…

Read More

KMC WAIVUTIA KASI GEITA GOLD

WATOTO wa Kinondoni, KMC wameanza mazoezi kwa ajili ya mechi zijazo za Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili 2022/23. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Hitimana Thiery kituo chake kinachofuata ni dhidi ya Geita Gold. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 11 ambapo awali ulitarajiwa kuchezwa Aprili 17ambapo KMC itakuwa nyumbani. Miongoni mwa nyota wa KMC…

Read More

TENGENEZA MKWANJA NA KASINO YA MTANDAONI

Mtu wangu wa nguvu nataka kusema na wewe kuhusu mchongo wa kupiga hela tu, na kila siku huwa nakuja na machimbo na mbinu kibao za kutengeneza mtonyo wako na kujiinua kiuchumi. Fuatilia story hii nzuri yenye mbinu za kutengeneza pesa haswa kwa njia ya kasino ya mtandaoni. Moja ya sehemu unayoweza kutengeneza mkwanja mrefu ni…

Read More