Yanga Yakamilisha Uhamisho wa Mshambuliaji Depu Kutoka Poland

Klabu ya Yanga inadaiwa kufikia makubaliano na klabu ya Radomiak Radom ya Poland katika uhamisho wa mshambuliaji Laurindo Dilson Maria Aurélio “Depu”, raia wa Angola, ambaye anatarajiwa kutua rasmi mitaa ya Jangwani. Depu anasajiliwa kuchukua nafasi ya Andy Boyeli, ambaye amerejea katika klabu yake, huku Yanga ikilenga kuimarisha eneo la ushambuliaji kuelekea michezo ijayo ya…

Read More