ANSU FANTI NDANI YA BRIGHTON

RASMI sasa mshambuliaji Ansu Fati atavaa jezi za Brighton baada ya Alhamisi kukamilisha dili lake la kujiunga na timu hiyo kwa mkopo akitokea Barcelona. Fati ametolewa kwa mkopo Brighton baada ya kushindwa kumshawishi kocha wa Barcelona, Xavi Hernandez licha ya awali kuonekana kinda huyo atafanya makubwa kikosini hapo kiasi cha kukabidhiwa jezi namba 10 iliyovaliwa…

Read More

PANGA LINAPITA KWA WASHIKA BUNDUKI HUKO

ARSENAL iko tayari kuwauza wachezaji tisa ili wapate fedha kwa ajili ya kumpa nguvu Kocha Mikel Arteta ya kushusha jembe lingine kikosini hapo. The Gunners wametumia mkwanja mkubwa msimu huu wa joto ili kushindana kusaka ubingwa wa Premier ambao msimu uliopita waliukosa dakika za mwisho mbele ya Manchester City. Arsenal wametoa pauni 105m kwa Declan…

Read More

ISHU YA SALAH KUUZWA UARABUNI IPO HIVI

JURGEN Klopp amesema kuwa Liverpool bado hawajapokea ofa kutoka Saudi Arabia kwa ajili ya Mohamed Salah, huku akisisitiza kuwa staa huyo ambaye amejitolea kwa 100% klabuni hapo hauzwi. Salah, 31, anawavutia mabingwa wa Saudi Pro League, Al Ittihad, ambao wanaripotiwa kuandaa dau la pauni milioni 100 ili kumng’oa Anfield majira haya ya joto. Hata hivyo…

Read More

CR 7 KUTOKA UARABUNI KUCHEZA UEFA

CHAMA cha Soka Saudi Arabia kipo kwenye mazungumzo na UEFA kuhusu uwezekano wa bingwa wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia kushiriki michuano hiyo msimu wa 2024/25. Hii inakuja baada ya Saudi Arabia Pro League kusajili wachezaji wakubwa na waliokuwa vipenzi vya mashabiki wengi huko Ulaya. Kwa sasa ligi ya Saudia imekuwa ikifuatiliwa tangu, Cristiano Ronaldo…

Read More

MSHIKAJI WA MBAPPE AUNGANA NA CR 7

Ligi Kuu ya nchini Saudi Arabia inayoitwa Roshn Saudi League  imezidi kuongeza nguvu ya mastaa wenye majina baada ya kumvuta staa wa PSG ndani ya ligi hiyo. Ni Klabu ya Al-Hilal rasmi imeinasa saini ya Mbrazil Neymar JR hivyo atakuwa kwenye timu hiyo msimu wa 2023/24. Nyota huyo aliyeng’ara na PSG ya Ufaransa na Barcelona…

Read More

DILI LA CAICEDO LINAKWENDA KUANDIKA REKODI MATATA

IKIWA dili lake litakamilika rekodi mpya inakwenda kuandikwa Uingereza kwa gharama ambazo zitatumika kuipata saini ya Moises Caicedo kutoka Brighton kwenda Chelsea. Imeelezwa kuwa kuna nyongeza katika mkataba imeongezwa na kufikia dili lenye thamani ya pauni milioni 115 na Chelsea wamekubali ada ya rekodi ya Uingereza ya pauni milioni 115 na Brighton kwa ajili ya…

Read More

BINGWA WA EPL HUYU HAPA

MSIMU wa Ligi Kuu ya England umeanza kutimua vumbi jana Ijumaa, kwa michezo miwili kupigwa ambapo mabingwa watetezi Manchester City walifungua pazia la kampeni ya kutetea taji lao ugenini mbele ya Burnley, huku mabingwa wa Ngao ya Jamii, Arsenal wao wakianzia nyumbani dhidi ya Nottingham Forest. Tayari joto la matokeo limezidi kuwa kubwa kwa mashabiki…

Read More

CAICEDO AIGOMEA LIVERPOOL, HUYO CHELSEA

DILI la staa wa Brighton FC Moises Caicedo kuibukia Liverpool linaweza kubuma licha ya asilimia 99 kuwa upande wao. Nyota huyo wa Brighton alikuwa katika mazungumzo na Liverpool ambao waliweka mkwanja mrefu mezani wa euro 110 milioni. Jurgen Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool aliweka wazi kuwa kila kitu kuhusu Caicedo kipo tayari ni jambo la…

Read More

ARSENAL WAMEANZA KWA KASI

WAMEANZA kwa kujiamini washika bunduki Arsenal mbele ya wapinzani wao Manchester City. Ni katika mchezo wa Ngao ya Jamii walifanikiwa kutwaa Ngao ya Jamii kwa ushindi wa penalti 4-1. Kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa walitoshana nguvu kwa kifungana bao 1-1. Ilibaki kidogo wapishane na taji hilo kwani walisubiri hadi dakika ya 90+11 kusawazisha…

Read More

NGAO YA JAMII ANAPASUKA MTU LEO

LEO Jumapili kwenye Uwanja wa Wembley, Arsenal na Manchester City zinakutana kwenye mechi ya Ngao ya Jamii kuashiria kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu England. Huu ni mchezo wa 115 wa Ngao ya Jamii unacheza tangu michezo hii ilipoanza kuchezwa mwaka 1908. Mchezo wa Ngao ya Jamii huzikutanisha timu bingwa wa Kombe la FA…

Read More

MABOSI CHELSEA WAKAMILISHA DILI LA DISASI

MABOSI wa Chelsea wamekamilisha usajili wa beki, Axel Disasi kutoka Monaco kwa pauni milioni 40 kwa mkataba wa miaka sita. Staa huyo pia alikuwa kwenye rada za Manchester United na Newcastle ambao pia walikuwa na nia ya kumsajili. Disasi aliweka wazi kuwa anatamani kushinda makombe na kufanya mambo makubwa akiwa Chelsea. Akizungumza na tovuti rasmi…

Read More

KOCHA PSG KUBWAGA MANYANGA KISA HIKI HAPA

KOCHA mkuu mpya wa PSG, Luis Enrique anafikiria kujiuzulu nafasi yake baada ya mwezi mmoja tu, katika kazi hiyo huku sababu kubwa ikitajwa kuwa ni machafuko ambayo yanaendelea katika klabu hiyo hususani sakata la staa wa timu hiyo, Kylian Mbappe. Ripoti kutoka nchini Hispania zinaeleza kuwa, Enrique ambaye aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa PSG mwanzoni…

Read More