Bruno Fernandes Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora EPL 2025/26
Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes ametangazwa rasmi kuwa Mchezaji Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Uingereza 2025/2026 baada ya kuwa nguzo muhimu ya mafanikio ya timu hiyo msimu huu. Kiungo huyo raia wa Ureno ameshinda tuzo hiyo baada ya kura zilizopigwa na mashabiki, makocha pamoja na wachambuzi wa soka, huku akiwaongoza United kumaliza…