Kibu Dennis Aondoka Msimbazi, Kuungana na Ngoma na Mukwala Libya

Klabu ya Simba SC imethibitisha kwamba mshambuliaji wake, Kibu Dennis, hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo, akihitimisha utumishi wake wa misimu minne na nusu akiwa na Wekundu wa Msimbazi. Kibu โ€˜Mkandajiโ€™, ambaye alijiunga na Simba SC miaka kadhaa iliyopita, anaripotiwa kujiunga na klabu ya Al Nasr Benghazi nchini Libya, na kutambulishwa hivi karibuni kama…

Read More

Jumatano Ya Meridianbet Kujazwa Ladha ya Ushindi Na Zawadi Kibao

Nani alisema katikati ya wiki hakuna burudani? Meridianbet wameamua kuivunja dhana hiyo kwa kuja na kampeni ya kusisimua ya Jumatano ya Zawadi, inayogeuza kila Jumatano kuwa siku ya matumaini na bahati. Kuanzia Jumatano hadi Jumanne, kila mchezaji anayekata tiketi yenye mechi tatu au zaidi anajikuta tayari yupo kwenye mbio za kushinda zawadi. Kinachoifanya Jumatano iwe…

Read More

Leo EPL Inaita! ni West Ham vs Man United, Chelsea vs Leeds

โšฝ๐Ÿ”ฅ USIKU WA MAAMUZI EPL ๐Ÿ”ฅโšฝ Saa 5 usiku macho yote London Stadiumโ€ฆโš’๏ธ West Ham vs Manchester UnitedPointi 3 si anasa โ€” ni lazima!Je, Carrick ataendeleza makali ya kikosi chake au West Ham watawazima taa? Lakini ratiba bado nzitoโ€ฆโšช Tottenham vs Newcastle โ€“ vita ya kasi na nguvu๐Ÿ”ต Chelsea vs Leeds โ€“ presha, mashambulizi na…

Read More

Singida Black Stars Wasukumizwa Nje ya CAFCC Baada ya Kifungwa 1-0 na CR Belouizdad

Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) wamesukumizwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Sead Ramovic na vijana wake wa CR Belouizdad katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar kwenye mchezo wa kundi C wa CAFCC. ๐…๐“: ๐’๐ข๐ง๐ ๐ข๐๐š ๐๐ฅ๐š๐œ๐ค ๐’๐ญ๐š๐ซ๐ฌ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐ŸŽ-๐Ÿ ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ ๐‚๐‘ ๐๐ž๐ฅ๐จ๐ฎ๐ข๐ณ๐๐š๐ โšฝ 03โ€™ Belhocini ๐‘€๐‘†๐ผ๐‘€๐ด๐‘€๐‘‚…

Read More

Manchester United Yaifunga Tottenham 2-0, Yafikisha Ushindi wa Nne Mfululizo

Manchester United, chini ya kocha Michael Carrick, wameendelea na mwendo wa ushindi katika Ligi Kuu England baada ya kuibuka na ushindi wa 2โ€“0 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa ligi uliofanyika Old Trafford. Wafungaji kwa upande wa Man United waliokuwa ni: Bryan Mbeumo aliifungia timu yake bao la kwanza na Bruno Fernandes akamalizia kwa…

Read More