TUCHEL AFUTWA KAZI CHELSEA

Thomas Tuchel amefukuzwa kazi ndani ya kikosi cha Chelsea na mmiliki wa timu hiyo ikiwa ni miezi mitatu imepita baada ya kuchukua umiliki wa timu hiyo. Ni muda mfupi baada ya timu hiyo kupoteza kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Dinamo Zagreb, ikiwa ni mechi 100 kaweza kukaa kwenye benchi akiwa ndani…

Read More

BRIGHTON WAPINDUA MEZA, WATEMBEZA 5G

LICHA ya Leicester City kuanza kupata bao la mapema kuongoza dakika ya kwanza halikuwapa nguvu ya kukusanya pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Brigton. Ni Kelechi Iheanacho alianza kupachika bao lakuongoza mapema kabisa kipindi cha kwanza dakika ya kwanza na bao la pili kwa timu hiyo lilifungwa na Patson Daka yeye…

Read More

ARSENAL WACHANA MKEKA

ARSENAL inayonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta imepoteza kwa mara ya kwanza msimu wa 2022/23 kwa kufungwa mabao 3-1 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa Old Trafford. Kwenye mchezo huo uliokuwa na kasi kubwa watupiaji ni Antony dakika ya 35, Marcus Rashford huyu alitupia mawili dakika ya 66…

Read More

LIVERPOOL MWENDO WAKE MGUMU

LICHA ya kuwa na mastaa wake wote ndani ya kikosi cha Liverpool ikiwa ni Mohamed Salah, Roberto Firmino, Virgil Van Djik waliambulia pointi moja mbele ya Everton kwenye Merseyside Dabi. Unakuwa ni mchezo wa tatu kwa Liverpool kupata sare msimu huu ikiwa imecheza mechi sita, imeshinda mbili na ilinyooshwa mbele ya Manchester United jambo linaloonesha…

Read More

KOCHA MAN U AKIRI ARSENAL NI WAGUMU

 ERIC ten Hag, Kocha Mkuu wa Manchester United ameweka wazi kuwa atakabiliana na wapnzani wao Arsenal ambao ni kipimo sahihi kwake kutokana na ubora wa wapinzani wao hao kwa sasa. Man United inatarajiwa kuvaana na Arsenal leo Septemba 4,2022 Uwanja wa Old Trafford ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu England. Arsenal imeanza msimu wa 2022/23…

Read More

MAN UNITED YASEPA NA USHINDI UGENINI

BAO la ushindi ambalo alifunga Jadon Sancho kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Leicester City wakiwa ugenini limemfanya achaguliwe kuwa mchezaji bora wa mchezo huo. Ilikuwa ni Uwanja wa King Power Manchester United walifanikiwa kukusanya pointi tatu wakiwa ugenini. Ushindi huo unaifanya timu hiyo kufikisha jumla ya pointi 9 ikiwa nafasi ya tano…

Read More

BENZEMA AMTAJA RONALDO

STAA wa Klabu ya Real Madrid, Karim Benzema amebainisha kuwa nyota Cristiano Ronaldo amefanya kazi kubwa kumsaidia yeye kuwa bora baada ya kuondoka hapo na kumuachia majukumu. Benzema na Ronaldo walicheza pamoja Real Madrid kuanzia 2009 mpaka 2018 kwa mafanikio makubwa ndani ya La Liga. Mpaka Ronaldo anaondoka Madrid alikuwa ametupia mabao zaidi ya 420…

Read More

SIMBA YAPOTEZA MBELE YA AL HILAL

KIKOSI cha Simba kimepoteza mchezo wake wa pili wa kirafiki kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Al Hilal. Mchezo wa leo ni wa pili kwa Simba kucheza ikiwa nchini Sudan ambapo ilialikwa kwenye mashindano maalumu yaliyoandaliwa na Klabu ya Al Hilal. Katika mchezo wa kwanza Simba ilishinda mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana….

Read More

RONALDO KUTUA NAPOLI

 NYOTA Cristiano Ronaldo anaweza kutua ndani ya Klabu ya Napoli kabla ya usajili kufungwa kesho Septemba Mosi. Wakala maarufu duniani, Jorge Mendes anapambana kuhakikisha staa huyo anayetaka kuondoka Manchester United anapata changamoto mpya. Taarifa zimeeleza kuwa dili lake la kujiunga na Napoli litahusisha kubadilisha baadhi ya wachezaji. Cr 7 mwenye Ballon d’Or tano aliwaambia viongozi…

Read More

SIMBA KAZINI TENA LEO KIMATAIFA

KIKOSI cha Simba leo kitakuwa na kazi ya kusaka ushindi dhidi ya Al Hilal ukiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki wakiwa nchini Sudan. Utakuwa ni mchezo wa pili leo baada ya ule wa awali kuweza kushinda mabao 4-2 Asante Kotoko. Seleman Matola, Kocha Msaidizi wa Simba ameweka wazi kuwa mchezo wa leo ni muhimu…

Read More

KOCHA WA MABINGWA WA LIGI YA MABINGWA ULAYA AONYA

 BOSI wa mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya amewaonya mastaa wake kwa kuwaambia kwamba wanapaswa kuongeza umakini. Carlo Ancelotti amewaambia wachezaji wake kwamba wanapaswa kuongeza umakini kutokana na mazingira ambayo wapo kiushindani. Timu hiyo imepangwa Kunid F na timu za RB Leipzig, Shakhar Donetsk na Celtic. Kocha huyo anakumbuka kwamba msimu uliopita timu hiyo…

Read More

KOCHA WA SIMBA ZORAN MAKI KUWAKOSA MASTAA 10

IKIWA nchini Sudan kwa ajili ya mashindano maalumu waliyoalikwa na Al Hilal, mastaa 10 wa Simba wanatarajia kukosekana kwenye mechi hizo. Tyari Maki ameongoza kikosi cha Simba kucheza mchezo wa kwanza dhidi ya Asante Kotoko ambapo walishinda mabao 4-2 kesho Agosti 31 ni mchezo mwingine dhidi ya Al Hilal ambao ni wenyeji. Ni nyota 9…

Read More

KISIKI YAKWAA BARCELONA KUMNASA KIUNGO CITY

 PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amebainisha kuwa kiungo Bernardo Silva hatajiunga na Barcelona kwa sababu mpaka sasa hakuna mbadala wake. Kocha huyo amebainisha kuwa mchezaji huyo ni kiungo wa kipekee ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England hivyo timu hiyo inakutana na kisiki kupata saini ya mwamba Silva. Nyota Silva alikuwa kwenye…

Read More

MAN U YAINGIA ANGA ZA DEPAY

MANCHESTER United inatajwa kuwania saini ya mshambuliaji wa Barcelona, Memphis Depay ili kuwanaye ndani ya kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu England.  Wanatajwa kuweka mezani kiasi ch pauni 8.4 milioni ili kuweza kumnasa mshambuliaji huyo. Msimu wa 2021/22 nyota huyo ndani ya La Liga alitupia mabao 12 akiwa ni kinara wa utupiaji ndani ya Barcelona. Awali…

Read More