HAALAND NI MWENDO WA REKODI TU

 NYOTA wa Manchester City, Erling Haaland ameendelea kuweka rekodi katika safari yake ya soka akifanikiwa kufunga mabao zaidi ya 20 kwa misimu minne mfululizo. Haaland ameendelea kuwa tishio ndani ya Premier League msimu huu ikiwa ni mara ya kwanza kwa nyota huyo kucheza hapo. Ndani ya Premier League, Haaland amefunga mabao 15, ambapo amefunga katika…

Read More

ARSENAL IPO KWENYE UBORA WAKE

ARSENAL inazidi kujiimarisha kwenye nafasi ya kwanza baada ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Liverpool na kuifanya kuwa kwenye ubora wake chini ya Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Uwanja wa Emirates mapema kabisa katika dakika ya kwanza Gabriel Martinelli kisha misumari miwili ilipachikwa na Bukayo Saka dakika ya 45 na dakika ya 76 kwa mkwaju…

Read More

AUBA KUIBUKIA PSG

PSG wanatajwa kuwa kwenye hesabu za kuiwinda saini ya mshambuliaji wa Chelsea, Pierre Emerick Aubameyang. Ripoti kutoka Ufaransa zimeeleza habari hiyo kuhusu dili la staa huyo wa Chelsea. Auba alijiunga na Chelsea akitokea Barcelona kwa dili la pauni milioni 10 na amefunga mabao mawili kwenye mechi nne. Inaelezwa kuwa Auba yupo tayari kurejea Ufaransa kucheza…

Read More

STAA HAALAND NI MKWANJA MREFU ANAKUNJA

MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland ambaye ametua ndani ya timu hiyo kwa pauni milioni 51 akitokea Borussia Dortmund anakunja mkwanja mrefu kinomanoma. Staa huyo mwenye miaka 22 analipwa vizuri ndani ya Etihad inaelezwa kwamba ukiweka kando bonasi anazopokea kwa wiki anakunja pauni 850,000 (bilioni 2.2 za Kitanzania). Ukicheki mshahara wa nyota huyo na zile…

Read More

ARSENAL WAPO JUU KILA KONA

KILA kona wapo juu hawa Arsenal wakiwa ni namba moja ukiweka kando Ligi Kuu England hata kwenye Kundi A katika Europa League ni namba moja. Ushindi wa mabao 3-0 walioupata dhidi ya Bodo/Glimt unawafanya wawe hapo nafasi ya kwanza kwenye mchezo uliochezwa usiku wa kuamkia leo. Ni mabao ya Eddie Nketiah dakika ya 23, Rob…

Read More

CHELSEA WAICHAPA CRYSTAL PALACE USIKU

USIKU kabisa Chelsea wakiwa ugenini wamepeleka maumivu kwa Crystal Palace kupitia kwa Conor Gallagger dakika ya 90. Bao hilo lilifanya ubao wa Uwanja wa Selhurst Park kusoma, Crystal Palace 1-2 Chelsea. Bao la mapema kwa Crystal Palace lilijazwa kimiani na Odsonne Edouard dakika ya 9 liliwekwa usawa na Pierre Emerick Aubameyang dakika ya 38. Chelsea…

Read More

ANFIELD LIVERPOOL WAMEGAWANA POINTI NA BRIGHTON

VIJANA wa Brighton wameupiga mwingi kweli, wakiwa Uwanja wa Anfield kwa kuwapa tau Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu England. Dakika 90 ubao ulisoma Liverpool 3-3 Brighton huku nyota Leondro Trossard akitupia mabao matatu kwenye mchezo huo. Alianza dakika ya 4 mapema kabisa kisha akaongeza msumari wa pili dakika ya 17 na 83 ikiwa ni…

Read More

ARSENAL YAMOTO, YAICHAPA SPURS 3-1

LONDON is red unaambiwa baada ya Arsenal kushinda mchezo wao wa Ligi Kuu England dhidi ya Spurs. Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Emirates ulikuwa ni wa ushindani mwanzo mwisho kwa timu zote kusaka ushindi. Bao la ufunguzi kwa Arsenal lilifungwa na Thomas Partey dakika ya 20 liliwekwa usawa na staa wa Spurs, Harry Kane dakika…

Read More

DE BRUYNE NI NOMA LIGI KUU ENGLAND

STAA wa Manchester City, Kevin de Bryune anaweza kuingia kwenye vitabu vya rekodi ya Premier. Sababu kubwa itakayomfanya nyota huyo kuingia kwenye rekodi hiyo ni kutokana na kuanza kwa kasi msimu huu ndani ya kikosi hicho cha Pep Guardiola ambaye ni Kocha Mkuu. Nyota huyo amekuwa hapo kwa muda mrefu na akiwa ni chachu ya…

Read More

BEKI MAGUIRE APATA WATETEZI HUKO

NAHODHA wa timu ya Taifa ya England, Harry Kane na beki  Luke Shaw wameibuka na kumtetea mchezaji mwenzao, Harry Maguire. Beki huyo alifanya makosa mawili yaliyopelekea kufungwa mabao mawili kwenye mchezo uliochezwa Jumatano. England ililazimisha sare ya kufungana mabao 3-3 dhidi ya Ujerumani kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Wembley ukiwa ni wa Michuano ya Kimataifa…

Read More

SIR FERGUSON ALIKUWA ANAWAITA ARSENAL ‘WATOTO’

 RIO Ferdinand amefichua kuwa Sir Alex Ferguson alikuwa akiwaita Arsenal, ‘Watoto’ili kuamsha ari ya wachezaji wake wa Manchester United wakawachape wanapokutana. Beki huyo wa zamani wa Man United amefichua kuwa Fergie daima alikuwa anawaambia wachezaji wake kuwa ‘nendeni mkawafunge watototo hao’ wakati akizungumza nao kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Ferdinand alisema:”Sir Alex Ferguson alikuwa akisema…

Read More