ARGENTINA YAFUFUA MATUMAINI KOMBE LA DUNIA

LIONEL Messi nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina amesema kuwa kwa sasa hawana chaguo ni lazima wapambane wenyewe kupata matokeo. Nyota huyo kwa sasa ametupia mabao mawili kwenye Kombe la Dunia nchini Qatar baada ya kufunga wakati ubao wa Uwanja wa Lusail Iconi uliposoma Argentina 2-0 Mexico. Messi alipachika bao hilo dakika ya 64…

Read More

SENEGAL YAMCHAPA QATAR 3-1

SENEGAL wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya wenyeji Qatar kwenye mchezo wa makundi Kombe la Dunia. Uwanja wa Al Thumana mbele ya mashabiki 41,797 ngoma imepigwa. Mchezo mmoja uliokuwa na ushindani mkubwa huku kipanamba moja wa Senegal Mendy akifanya kazi kubwa kuokoa michomo langoni mwake. Ni mabao ya B Dia dakika ya 41,…

Read More

UFARANSA WAPIGA 4G

MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia wamepindua meza kibabe na kusepa na pointi tatu mazima kwenye mchezo wa kwanza wa makundi dhidi ya Australia. Austaralia wakiwa Uwanja wa Al Janoub mbele ya mashabiki 40,875 walianza kupata bao la kuongoza mapema dakika ya 9 kupitia kwa Craig Goodwin. Ni Adrien Rabiot alipachika bao dakika ya 27,…

Read More

ARGENTINA YAUSHANGAZA ULIMWENGU IKICHAPWA

ULIMWENGU wa mpira umeshutshwa na matokeo ya leo kwenye mchezo wa Kombe la Dunia katika kundi C. Wakati wengi wakiwapa matumaini Argentina yenye Lionel Messi kushinda ngoma iligeuka na wakapoteza mchezo huo. Dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lusail umesoma Argentina 1-2 Saudi Arabia ambao wamesepa na pointi tatu mazima. Ni bao la Lionel Messi…

Read More

VALENCIA AWEKA REKODI HII KOMBE LA DUNIA

MWAMBA Enner Valencia ameandika rekodi yake ya kufunga mabao mawili kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia. Wakati ubao wa Uwanja wa Al Bayt ukisoma Qatar 0-2 Ecuador ni Valencia alipachika mabao yote mawili ilikuwa dakika ya 16 kwa mkwaju wa penalti na dakika ya 31. Bao lake la dakika ya tatu lifutwa baada…

Read More

RONALDO: MANCHESTER UNITED IMENISALITI

CRISTIANO Ronaldo amebainisha kuwa Klabu ya Manchester United imemsaliti kwa kuwa wanamlazimisha aondoke. Ronaldo amefunguka hayo kwenye mahojiano maalumu na gwiji wa habari, Piers Morgan. Kabla ya msimu wa 2022/23 kuanza iliripotiwa kuwa nyota huyo anataka kusepa ndani ya Manchester United baada ya timu hiyo kushindwa kupata nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya. Nyota…

Read More

MANE KUTIBIWA NA WAGAGA ACHEZE KOMBE LA DUNIA

INAELEZWA kuwa Senegal ipo tayari kuwatumia hata waganga wa kienyeji kuhakikisha nyota wao Sadio Mane anapona na kushiriki Kombe la Dunia ambalo linatarajiwa kuanza Novemba 20,kule Qatar. Mane yupo kwenye hatihati ya kukosekana kwenye Kombe la Dunia baada ya hivi karibuni kuumia akiwa na Klabu ya Bayern Munich kwenye mchezo dhidi ya Werder Bremen. Katibu…

Read More

ASTON VILLA WAINYOOSHA BRIGHTON

MASHUTI mawili yalipigwa kwenye lango la Brighton na wapinzani wao Aston Villa na hayo yote yalijaa nyavuni. Uwanja wa Falmer ulisoma Brighton 1-2 Aston Villla kwenye mchezo wa Ligi Kuu England ambao ulichezwa Novemba 13. Ni mabao ya Danny Ings aliyefunga dakika ya 20 kwa mkwaju wa penalti na lile la pili alifunga mwenyewe dakika…

Read More

HOFU YATANDA SENEGAL KUUMIA KWA MANE

BAYERN Munich inaamini kwamba jeraha ambalo amepata Sadio Mane sio kubwa sana kuelekea kwenye Kombe la Dunia ingawa kwa sasa wanasubiri vipimo. Mane aliumia juzi wakati wa mchezo wa Bundesliga dhidi ya Werder Bremen na kuibuka na ushindi wa mabao 6-1. Kwa maumivu aliyopata nyota huyo aliondolewa uwanjani katika mchezo huo na sasa zimesalia siku…

Read More

MADRID NA LIVER FAINALI YAO IMEBUMA

MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid wataanza ugenini dhidi ya Liverpool na wababe PSG watavaana na Bayern Munich kwenye mechi za hatua ya 16 bora. Mechi za raundi hiyo zinatarajiwa kuanza kupigwa Februari 14 mpaka Machi 14, mwakani 2023 baada ya droo kuchezwa Novemba 7,2022. Liverpool na Real Madrid msimu uliopita zilikutana…

Read More

ARSENAL WASHINDA DARAJANI SASA NI NAMBA MOJA

WAKIWA Uwanja wa Stamford Bridge, Arsenal wamesepa na pointi tatu jumlajumla kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Chelsea. Bao pekee la ushindi limefungwa kipindi cha pili baada ya dakika 45 za mwanzo ngoma kuwa nzito kwa wote. Ni Gabriel amepeleka furaha Arsenal kwa kupachika bao hilo dakika ya 63 na kuwafanya mashabiki kushangilia kwa…

Read More

MKONGWE PIQUE AWAAGA BARCELONA

MKONGWE wa kazi ndani ya uwanja alikwama kuzuia machozi yasimtoke wakati akiwaaga mashabiki wake. Alizungumza mengi ikiwa ni pamoja na maneno haya:- “Nitawakumbuka na nina amini nitarudi kwa wakati mwingine lakini sitakuwa ni mchezaji wakati nitakaporudi,” ni Gerard Pique amebainisha hayo ndani ya Uwanja wa Nou Camp. Ilikuwa ni Novemba 5,2022 wajati ubao ukisoma Barcelona…

Read More

SAKA AZUA HOFU KUELEKEA KOMBE LA DUNIA

IAN Wright, mkongwe wa Arsenal amekiri kuwa ana hofu juu ya Bukayp Saka kuwa anaweza kupata majeraha kuelekea Kombe la Dunia. Saka aliumia hivi karibuni na sasa amepana na leo atakuwa sehemu ya mchezo wa London Dabi dhidi ya Chelsea. Winga huyo awali aliumia kwenye mchezo kati ya Arsenal na Nottingham Forest wakati Arsenal wakishinda…

Read More

CITY INACHAPA TU, HAALAND ATUPIA

 MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland kwenye mchezo wa Ligi Kuu Enland dhidi ya Fulham alitokea banchi na kufunga bao la ushindi kwa timu hiyo. Wakiwa pungufu City baada ya nyota wao Joao Cancelo kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 26 ubao wa Etihad ulikuwa unasoma City 1-1 Fulham. Bao la mapema kwa City lilifungwa na…

Read More