
MAJANGA MATUPU LIVERPOOL, DIAZ NJE MPAKA KOMBE LA DUNIA
BALAA kwelikweli ndani ya Liverpool ambayo mwendo wake ni mbovu msimu wa 2022/23. Kocha Jurgen Klopp anazidi kupasua kichwa kutokana na taarifa mbaya kuhusu mshambuliaji wake Luis Diaz kwamba atamkosa mpaka mwisho wa Kombe la Dunia. Hayo yote yametokana na maumivu ya goti aliyopata wakati Liverpool ilipoambulia kipigo cha mabao 3-2 dhidi ya Arsenal, Jumapili…