SUALA LA KUBEBA MATOKEO MFUKONI LISIPEWA NAFASI
MATOKEO ya mchezo wa mpira wa miguu yanashangaza kutokana na kila timu kutumia makosa ya wapinzani. Ili kushinda ni muhimu kutumia kila nafasi ambayo inapatikana ndani ya dakika 90. Kwa sasa Simba wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wana kazi ya kusaka ushindi Oktoba 20 kwenye mchezo dhidi ya Al Ahly. Mchezo huu…