LIGI IMEANZA MATOKEO YASAKWE KWA HAKI, MUDA MCHACHE

TUMEONA namna Ligi Kuu Tanzania Bara ilivyoanza kwa kasi huku kila timu ikipambana kuonyesha uwezo wake ndani ya uwanja katika kutafuta ushindi na hii inaonyesha maandalizi yalikuwa bora. Pongezi kubwa kwa wachezaji ambao wameanza kuonyesha uwezo wao na hili linapaswa kuwa endelevu na sio kwenye mechi za mwanzo kisha mechi zinazofuatwa ikawa tofauti. Timu zote…

Read More

YANGA V SIMBA, HII GEMU HAINA MWENYEWE

WEKA ngoma ipigwe wanasema tumewafuata waliotangulia ni kueleka mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga  V Simba. Kila timu ina nyota wapya ikiwa ni pamoja na Jonas Mkude, Skudu Makudubela na Maxi Nzengeli kwa Yanga, Luis Miquissoe, Willy Onana kwa Simba. Ikumbukwe kwamba Yanga waliitungua mabao 2-0 Azam FC kisha Simba wao walipenya kwa…

Read More

MPIRA SIO VITA MUHIMU KULINDANA WACHEZAJI

MASHABIKI furaha yao ni kuona wachezaji wakicheza kwa umakini na kuipa ushindi timu yao ambayo wanaishangilia. Ipo hivyo hata kwa benchi la ufundi pamoja na wachezaji wenyewe wanapokuwa ndani ya uwanja. Mashabiki wa Singida Fountain Gate wanapenda kuona timu ikipata matokeo mazuri hata wale wa Kagera Sugar nao pia wanapenda kupata matokeo mazuri. Miongoni mwa…

Read More

KILA IDARA MABADILIKO NI MUHIMU

KILA mchezaji anapenda kupata matokeo mazuri kwa ajili ya timu yake ipo hivyo. Sio Yanga, Singida Fountain Gate mpaka Kagera Sugar. Hata Namungo pia wanafanya maandalizi kwa ajili ya kuona wanapata kile kilicho bora uwanjani. Kila shabiki anapenda kuona timu yake inapata matokeo mazuri baada ya dakika 90. Kwa namna yoyote kinachotakiwa kwa wakati huu…

Read More

MAPEMA KUMPA ZIGO LA MAYELE KONKONI YANGA

SASA ni rasmi Fiston Mayele hatakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kwa msimu wa 2023/24 baada ya kukamilisha dili lake la kujiunga na matajiri wa nchi ya Farao Pyramids ambao msimu huu watakuwa na kibarua kikubwa cha kulisaka taji la Ligi ya Mabingwa Afrika. Mayele amekuwa na misimu miwili bora akiwa na kikosi cha Yanga…

Read More

AMANI ITAWALE KWENYE KILA ENEO SIMBA DAY

AMANI ni nkitu cha msingi kwenye kila idara ikiwa ni pamoja na familia ya michezo. Hivi karibuni kwenye matamasha pamoja na mechi za kimataifa tumeshuhudia vurugu. Utaratibu ambao umekuwa ukitumika, ni miongoni mwa sababu ya mashabiki kuwa sehemu ya vurugu hizo hasa wakati wa kuingia uwanjani. Kikubwa ambacho kinatakiwa kuelekea Simba Day, kuwepo mipango makini…

Read More

NGUVU YA WASHKAJI INAKWENDA KUONEKANA MKWAKWANI TANGA

UKIONA giza linazidi wanasema kunakaribia kukucha, hivyo tu basi kwa namna joto la Ngao ya Jamii linavyozidi kukaribia basi ligi ipo njiani. Waliotwaa taji ya Ngao ya Jamii 2022/23 ni Yanga wanakwenda kukutana na Azam FC. Timu zote zitakwenda kuonyesha nguvu ya ushikaji ndani ya Uwanja wa Mkwakwani Agosti 9. Hapa tunakuletea baadhi ya mastaa…

Read More

MCHAKAMCHAKA WA USHINDI UNAANZA SASA

MCHAKAMCHAKA wa maisha ya mpira unazidi kuendelea kasi huku ligi ikiwa mlangoni kuanza. Kwa mipango mipya tunaamini maandalizi ya kila timu yamefanyika kwa wakati. Licha ya kwamba ilikuwa ni muda mfupi kwa maandalizi ni muhimu kila timu kupambana kutimiza majukumu ambayo yanawahusu hilo ni muhimu kuzingatia. Tunaona kwamba Namungo imejumuisha wakongwe ndani ya kikosi chao…

Read More

MAYELE MZEE WA KUTETEMA ‘THANK YOU’

MZEE wa kutetema Fiston Mayele hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga msimu mpya wa 2023/24 baada ya kupata changamoto mpya ndani ya kikosi cha Pyramids ya Misri. Hapa tunakuletea baadhi ya aliyofanya akiwa na uzi wa Yanga namna hii akikutana na Thank You:- Tuzo zake Ana tuzo ya ufungaji bora ndani ya ligi msimu wa…

Read More

SEKTA YA SKAUTI INAHITAJI MABORESHO BONGO

KWENYE upande wa usajili kumekuwa na sarakasi nyingi kwa timu za Bongo iwe kuanzia Ligi ya Wanawake, Championship mpaka Ligi Kuu Bara. Sio Simba, Yanga mpaka Geita Gold kumekuwa na sarakasi nyingi ambazo zinachezwa. Mpaka Namungo pia nao Singida Fountain Gate wanatambua namna ambavyo wamekuwa wakipambana kwenye upande wa masuala ya usajili hivyo ni muhimu…

Read More