STAMINA AACHIA ALBAM YAKE YA PILI

MSANII wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Boniventure Kabogo (Stamina), ameachia album yake ya pili aliyoipa jina la Paradiso ambayo ina mkusanyiko wa jumla ya nyimbo 13. Wasanii alioshirikiana nao katika albamu hiyo ambayo imezinduliwa kupitia jukwaa la Boomplay, ni pamoja na Bele 9, Aslay, Linah, Walter Chilambo, Saraphina, Isha Mashauzi, Barakah The Prince na…

Read More