Meridianbet Yarejesha Tabasamu kwa Jamii ya Kinondoni Kuelekea Krismasi

Wakati wengi wakijiandaa kusherehekea Sikukuu ya Krismasi, Meridianbet imeamua kuifanya sikukuu hiyo kuwa na maana zaidi kwa familia zinazopitia hali ngumu ya kiuchumi. Kampuni hiyo inayoongoza katika sekta ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania imefika katika kata mbalimbali za Manispaa ya Kinondoni, ikitoa msaada wa mahitaji ya msingi ya nyumbani kwa familia zenye kipato cha…

Read More

BASATA Yasitisha Hafla ya TMA 2025 Bila Kutoa Sababu

Leo Disemba 13, 2025 hafla ya utoaji Tuzo za Muziki Tanzania(TMA) 2025 kwa wasanii wa muziki waliofanya vizuri katika maeneo mbalimbali nchini ilitarajiwa kufanyika. Taarifa iliyotolewa na Baraza la Sanaa Tanzania(BASATA) imeeleza kuwa zoezi hilo halitafanyika mpaka wakati mwingine. “Tunawataarifu kuwa hafla ya TMA iliyokuwa imepangwa kufanyika tarehe 13/12/2025 imeahirishwa mpaka pale tarehe nyingine itakapotangazwa.”…

Read More

Msimu wa Zawadi Bab Kubwa Na Holiday Drops – Christmas

Tunapoukaribisha msimu wa sherehe za mwisho wa mwaka, Meridianbet inakuletea Holiday Drops – Christmas Edition, kampeni maalum inayokuletea ushindi kwa namna ya kipekee. Kuanzia tarehe 01 Desemba 2025 hadi 08 Januari 2026, wachezaji watakuwa ndani ya kipindi cha zawadi zinazotoka papo hapo katika michezo maalum iliyochaguliwa mahsusi kwa msimu huu. Holiday Drops imeundwa kuongeza thamani…

Read More

Furahia sikukuu Na Holiday Drops 2025 Kutoka Meridianbet

Jambo kubwa limeletwa kwako mbashiri na meridianbet msimu huu wa sikukuu za kumaliza mwaka. Usikubali kusherehekea sikukuu kinyonge kabisa wakati Meridianbet ipo kwa ajili yako. Meridianbet wameamua kuigeuza michezo kuwa uwanja wa ushindi wa papo kwa papo kupitia Holiday Drops – Christmas Edition. Kuanzia 01.12.2025 hadi 08.01.2026, kila mchezaji anashiriki michezo maalumu ya kasino mtandaoni…

Read More

Holiday Drops – Christmas Edition Kukupa Ushindi Wa Kishindo

Siku hizi za sikukuu, Meridianbet wanafungua pazia la zawadi kupitia Holiday Drops – Christmas Edition, kuanzia 01.12.2025 hadi 08.01.2026. Huu ndiyo msimu ambao kila mchezaji anageuka kuwa mshindi kwa namna ya kipekee, hakuna presha ya mchezo, ni bahati inayonyesha kama mvua. Kila ukifanya mzunguko kwenye michezo maalum, unakaribishwa kwenye ulimwengu ambao zawadi zinaweza kujitokeza ghafla…

Read More

Meridianbet Yaendelea Kuthibitisha Uongozi Katika Kujenga Jamii Yenye Ustawi Zaidi

Kuonyesha dhamira yake isiyoyumba ya kuwa sehemu ya suluhisho katika changamoto za kijamii, kampuni ya Meridianbet imeendeleza msururu wa miradi yake ya kusaidia jamii kwa kugawa vyakula kwa familia zenye uhitaji katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam. Hatua hii inathibitisha kwamba kampuni hiyo haishughuliki tu na michezo ya kubahatisha, bali pia ni nguzo muhimu…

Read More

Rais Samia Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri, Orodha Ipo Hapa – (Picha +Video)

Dodoma, Tanzania — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza leo Novemba 17, 2025 Baraza jipya la Mawaziri katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Tangazo hilo limekuja kufuatia mabadiliko ya kiutendaji na mapitio ya baadhi ya wizara yaliyolenga kuongeza ufanisi, uwajibikaji na kasi ya utekelezaji wa mipango ya serikali….

Read More

Matokeo Darasa la Saba 2025 Yatangazwa Yapo HAPA, Asilimia 81.8 ya Watahiniwa Wamefaulu

Dar es Salaam, Novemba 5, 2025 — Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said A. Mohamed, ametangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (MTEM) 2025 katika hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa hiyo inaonesha kuwa kati ya watahiniwa 1,146,164 waliojihusisha na mtihani huo, watahiniwa 937,581 sawa…

Read More

Polisi yataja sababu ya kumkamata Niffer

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Jumanne Muliro amethibitisha jeshi hilo kumkamata mfanyabiashara wa mtandaoni Jenifer Jovin maarufu Niffer. Kamanda Muliro ametoa kauli hiyo Jumatatu Oktoba 27,2025 baada ya kusambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa mfanyabiashara huyo ametekwa na watu wasiojulikana Sinza jijini Dar es Salaam alipokuwa dukani kwake. “Jeshi la…

Read More