Shilole Apata Ajali Njiani Akitoka Kigoma Kurudi Dodoma
Msanii wa Bongo Muvi na mjasiriamali anayemiliki mgahawa maarufu wa Shishi Food, Zuwena Mohamed amepata ajali ya gari akiwa njiani kurudi Dodoma kutoka Kigoma, baada ya kushiriki shughuli ya kijamii ya Pilau Day iliyoratibiwa na Mbunge wa Kigoma Mjini, Babalevo. Mbunge Babalevo kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii amethibitisha tukio hilo. “Jana usiku dada…