JUMA MGUNDA NA KASI YAKE MEI NI MOTO
KASI ya Coastal Union ndani ya Mei inafurahisha kwa kuwa kwenye mechi 5 ambazo wamecheza hawajapoteza mchezo wakishinda nne na kuambulia sare moja ugenini. Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa watu wasijisahaulishe wanapaswa kuiombea timu hiyo ili iendelee kufanya vizuri. “Tupo nafasi ya 6 wazidi kutuombea ili kwenye mechi zijazo tupate matokeo…