
MILANGO YA USHIRIKA MIGUMU MWANZO MWISHO, POLISI TANZANIA 0-0SIMBA
UWANJA wa Ushirika Moshi,milango kwa timu zote mbili ilikuwa migumu mwanzo mpaka mwisho wa mchezo na kufanya timu zote zigawane pointi mojamoja. Ubao umesoma Polisi Tanzania 0-0 Simba ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa 19 msimu wa 2021/22. Mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara sasa wanafikisha pointi 41 wakiwa wameachwa kwa jumla ya pointi…