Saleh

TASHOKA YATEKELEZA KWA VITENDO YALIPO KWENYE KALENDA

CHAMA cha Mchezo wa Karate Tanzania (TASHOKA) kinaendelea kutekeleza kwa vitendo matukio katika kalenda yake ya Mwaka 2022 iliyoitoa hivi karibuni. Kwa mujibu wa Kalenda hiyo Kuanzia Februari 12 mpaka April 16 mwaka huu kunafanyika semina elekezi kwa wakufunzi wote wa vilabu Vya Tashoka pia kunafanyika kozi ya urefa wa Karate Grade D,C na B….

Read More

NTIBANZOKIZA APEWA TUZO YA MCHEZAJI BORA

SAID Ntibanzokiza, Kiungo wa Yanga ameteuliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Februari ndani ya Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi Tanzania imeeleza kuwa nyota huyo amechaguliwa na Kikao cha Kamati kilichokutana Dar Jumamosi. Kwenye mechi za ligi aliweza kutupia mabao mawili na kuhusika katika mabao matatu. Leo Yanga ina…

Read More

WATANO WA YANGA KUIKOSA GEITA GOLD

NYOTA watano wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo wanatarajiwa kuukosa mchezo wa ligi dhidi ya Geita Gold. Ni Jesus Moloko, Djuma Shaban pamoja na Khalid Aucho ambao hawa hawapo fiti kuweza kuanza mchezo wa leo. Aucho inaripotiwa kwamba amepata majeraha huku Djuma akitajwa kuwa na Mlaria na Moloko yeye ni…

Read More

MDAMU APEWA ZAWADI YA USHINDI,AZAM YAPOTEZA

WACHEZAJI wa Polisi Tanzania walimpa zawadi ya ushindi mchezaji wao Gerald Mdamu kwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mdamu yupo nje ya uwanja kwa muda akitibu mguu ambao aliumia baada ya kupata ajali walipokuwa wakitoka mazoezini na timu ya Polisi Tanzania. Ni bao la Kassim…

Read More

IHEFU YAPOTEZA MBELE YA DTB CHAMPIONSHIP

KLABU ya DTB inayoshiriki Championship leo Machi 5 imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu FC ya Mbeya. Ilikuwa ni mchezo mmoja wa kukata na shaka uliowakutanisha vigogo hawa wanaopewa nafasi kubwa ya kuweza kushiriki Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Bao pekee la ushindi lilifungwa na Ally Ally wa Ihefu ambaye ni…

Read More

NYOTA WAWILI WAMPA KIBURI NABI KUIVAA GEITA GOLD

 KOCHA Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi amefurahia kurejea uwanjani mastaa wake wawili jambo linalomuongezea nguvu kuelekea mchezo wake dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa kesho. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana Jumapili hii katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kupigwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mastaa hao waliorejea katika…

Read More

AZAM FV V POLISI TANZANIA LEO NI LEO

LEO ni leo kwa Azam FC kusaka pointi tatu muhimu mbele ya Polisi Tanzania ambayo nayo inapiga hesabu ya kusepa na pointi hizo tatu. Ikumbukwe kwamba jana Polisi Tanzania wachezaji wote pamoja na viongozi wa timu hiyo waliweza kumtembelea mchezaji wao Gerald Mdamu ambaye alipata ajali na aliweza kuwapa ujumbe wa kuwaomba wachezaji wenzake wazidi…

Read More

MITAMBO YA MABAO YAANZA KAZI SIMBA

NYOTA wawili wa Simba ambao ni Chris Mugalu na Kibu Dennis tayari wameanza mazoezi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu Pablo Franco. Nyota hao ni mitambo ya kutengeneza mabao kutokana na kuwa na rekodi za kuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za mabao kwenye mechi ambazo wamecheza msimu wa 2021/22. Mugalu yeye ametengeneza…

Read More

KLOPP KUSEPA LIVERPOOL

JURGEN Klopp,Kocha Mkuu wa Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu England amethibitisha kwamba ataondoka ndani ya timu hiyo mkataba wake utakapomeguka 2024. Ameongeza kuwa anaweza kuamua kubaki hapo ikiwa tu ataona ana nguvu ya kuweza kuiongoza timu hiyo. Liverpool chini ya Klopp iliweza kuvunja mwiko wa kupitisha miaka 30 kusubiri taji la Ligi Kuu England akiwa amekaa…

Read More

MAYELE KUPEWA ZAWADI KUBWA AKIWAFUNGA SIMBA

MJUMBE wa Kamati ya Wazee ya Klabu ya Simba, Said Muchacho, amemuahidi kumpatia zawadi ya mbuzi mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele kama atafanikiwa kuifunga Simba katika michezo inayofuata ambayo watakutana. Ahadi hiyo imekuja ikiwa ni siku chache baada ya shabiki mmoja wa Yanga kutoka Morogoro kumpa Mayele ng’ombe baada ya kufunga bao dhidi ya Mtibwa…

Read More

SIMBA YASEPA NA POINTI TATU ZA BIASHARA UNITED

UWANJA wa Mkapa ubao umesoma Simba 3-0 Biashara United na kuwafanya Simba kuondoka na alama tatu mazima. Mabao yote yalipachikwa kipindi cha kwanza kwa upande wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Pablo Franco. Ni Pape Sakho alipachika bao dk ya 8 ,Mzamiru Yassin di 13 na Clatous Chama di ya 17. Majaribio ta Biashara United…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

NI mzunguko wa pili unaendelea na mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa leo Machi 4,2022. Kagera Sugar v Namungo FC, Uwanja wa Kaitaba hii itapigwa saa 10:00 jioni. Simba SC v Biashara United, Uwanja wa Mkapa hii itapigwa saa 1:00. Kagera Sugar imetoka kupoteza mchezo wake mbele ya Yanga kwa kufungwa mabao 3-0 Uwanja wa Mkapa hivyo…

Read More

YANGA WAMTEMBELEA ALLY YANGA

UONGOZI wa Yanga jioni ya Machi 3,2022 waliweza kumtembelea mtoto Ally Kimara maarufu kama Ally Yanga ambaye ni shabiki wa Yanga na mchezaji ambaye anampenda ni Fiston Mayele. Viongozi wa Yanga waliweza kufanya dua pia na Ally Yanga katika na kumuombea dua njema na kusema kuwa haitakuwa mwisho kutenda matendo ya huruma. Haji Manara, Ofisa…

Read More