Saleh

MCHEZO MZIMA WA AZIZ KI KUSAINI YANGA UPO HIVI

SAKATA la usajili wa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Stephanie Aziz Ki, limeingia katika sura mpya na kumuibua Msemaji wa Yanga, Haji Manara ambaye amefunguka kila kitu kuhusu ishu ya staa huyo kutua Jangwani. Aziz Ki amekuwa gumzo kubwa kwa siku za karibuni kufuatia kuziingiza kwenye vita kali klabu za Simba na…

Read More

TUCHEL ANAMTAKA LEWANDOWSKI

KOCHA Mkuu wa klabu ya Chelsea raia wa Ujerumani Thomas Tuchel ameisisitizia Bodi ya klabu hiyo kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha inapata saini ya mshambuliaji hatari wa Bayern Munich na Timu ya Taifa ya Poland Robert Lewandowski. Tuchel anatamani Lewandowski achukue mikoba ya Romelu Lukaku ambaye anatazamiwa kujiunga na klabu yake ya zamani ya Inter Milan…

Read More

ARSENAL WAINASA SAINI YA KIUNGO MSHAMBULIAJI

KLABU ya Arsenal ya nchini Uingereza imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa klabu ya FC Porto ya nchini Ureno Fabio Vieira (22). Arsenal imekamilisha dili la kumsajili kiungo uyo kwa ada ya Paundi milioni 34 ambayo ni sawa na Shilingi Bilioni 96.9 za kitanzania ambapo itatoa Paundi milioni 30 kwanza halafu Paundi milioni 4…

Read More

ISHU YA UFUNGAJI BORA MAYELE AFUNGUKIA

KINARA wa mabao wa Ligi Kuu Bara, Mkongomani Fiston Mayele ameibuka na kumwambia mpinzani wake wa Geita Gold, George Mpole hatakubali akiache kiatu cha ufungaji bora msimu huu. Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kufunga mabao mawili na kufikisha mabao 16 katika ufungaji huku mpinzani wake akifunga 15. Mkongomani huyo alifunga mabao hayo katika mchezo…

Read More

RATIBA LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo Juni 18, ambapo timu mbili zitakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu. Ni Geita Gold itawakaribisha Biashara United katika Uwanja wa Nyankumbu. Geita Gold ipo nafasi ya 4 ikiwa na pointi 39 inakutana na Biashara United iliyo nafasi ya 15 na pointi 25. Pia mchezo mwingine ni…

Read More

MSUVA ATAJWA SIMBA,YANGA

KIUNGO mshambuliaji wa Wydad Casablanca, Mtanzania Simon Msuva amekiri kufuatwa na kufanya mazungumzo na timu kongwe za Simba na Yanga kwa ajili ya kumsajili kuelekea msimu ujao. Kiungo huyo hivi sasa yupo nchini akisubiria hatima ya kesi yake inayoendelea Fifa dhidi ya klabu yake hiyo anayoichezea ya Casablanca. Msuva amesema kuwa hivi karibuni ataweka wazi…

Read More

HESABU ZA KIMATAIFA ZA YANGA NOMA

 UONGOZI wa kikosi cha Yanga, umeweka wazi kuwa wamejiwekea malengo makubwa ya kuhakikisha msimu ujao, angalau wanacheza hatua ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.   Ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union umewafanya Yanga rasmi kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa ligi na kuandika rekodi ya kushinda ubingwa huo kwa mara ya 28….

Read More

BWALYA KUAGWA JUMAPILI

 KIUNGO wa Klabu ya Simba, Rally Bwalya atasepa ndani ya kikosi hicho baada ya mabosi wa timu hiyo kuweka wazi kwamba wamefikia makubaliano na timu moja iliyokuwa inahitaji saini yake. Simba wameweka wazi kuwa wanashukuru kwa huduma ya kiungo huyo raia wa Zambia ambaye alitua hapo Agosti 2020 akitokea Klabu ya Power Dynamo. Ni dili…

Read More

BEKI WA YANGA KUIBUKIA AZAM FC

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Azam ipo katika mazungumzo na aliyewahi kuwa Beki na Nahodha wa Yanga, Lamine Moro kwa ajili ya kuimarisha safu yao ya ulinzi msimu ujao wa 2022/23. Beki huyo kwa sasa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake na Newroz SC ya nchini Iraq aliyojiunga nayo Januari mwaka huu kumalizika. Ikumbukwe kuwa,…

Read More

KIUNGO WA KAZI AZICHONGANISHA SIMBA NA YANGA

IMEELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Abdul Suleiman, ‘Sopu’ yupo kwenye rada za Yanga na Simba ambao wanawania saini yake. Nyota huyo amekuwa kwenye ubora wake msimu huu ndani ya Coastal Union akiwa ametupia mabao 7 ndani ya ligi na ni namba moja kwenye timu hiyo. Habari zimeeleza kuwa Simba wanahitaji kuipata saini ya…

Read More

KOCHA YANGA AMPELEKA SAIDO SIMBA

BAADA ya Said Ntibanzokiza kuachana na Yanga kocha wa makipa wa zamani wa timu hiyo Vladimir Niyonkuru raia wa Burundi ameweka wazi kuwa anatamani kumuona kiungo huyo akisaini Simba. Saido mkataba wake ulimeguka Mei 30 na Yanga waliweka wazi kwamba wanamtakia kila la kheri kwenye changamoto mpya ambayo atakuwa kwa wakati ujao. Kocha huyo amesema:”Nimesikia…

Read More

SIMBA YALIPA KISASI UWANJA WA MKAPA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa ushindi ambao wameupata mbele ya Mbeya City ni muhimu kwao katika kuongeza hali ya kujiamini kwa mechi zijazo. Ushindi huo ni kisasi kwa Simba ambao walinyooshwa kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza na kuacha pointi tatu mazima mbele ya Mbeya City. Jana Juni 16, Uwanja wa Mkapa…

Read More

SIMBA YAFUATA STRAIKA GHANA, MAZUNGUMZO YANAENDELEA

SIMBA SC ipo katika mazungumzo ya mwisho ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji Augustine Okrah anayeichezea Bechem United FC ya Ghana. Timu hiyo imepanga kukiboresha kikosi chao kitakachowavusha hatua ya robo fainali ya michuano ya kimataifa watakayoshiriki msimu ujao baada ya misimu ya karibuni kuishia hatua hiyo. Wakati mshambuliaji huyo akitarajiwa kutua, Simba imepanga kuachana na…

Read More

MASHINE MPYA YANGA HII HAPA KUTOKA ANGOLA

UNAKUMBUKA uongozi wa Yanga ulisema kuwa kuna mchezaji aliyecheza Ligi ya Angola atasajiliwa na Yanga msimu huu? Sasa ni wazi kuwa klabu hiyo tayari imemelizana na straika huyo anayefahamika kwa jina la Adriano Belmiro Duarte Nicolau ‘Yano’ anayekipiga Petro Luanda ya nchini humo. Yano Belmiro mwenye umri wa miaka 29, katika michuano ya kimataifa msimu…

Read More