Saleh

KAPOMBE:MASHABIKI WAJITOKEZE KUTUPA SAPOTI

SHOMARI Kapombe, nahodha msaidizi wa Simba amewaomba mashabiki wa Simba kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa kesho kushuhudia mchezo wao dhidi ya Geita Gold. Simba inaingia uwanjani kwenye mchezo wa kwanza wa ligi ikiwa imetoka kutunguliwa mabao 2-1 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Beki huyo ambaye hakucheza…

Read More

MAYELE CHINI YA ULINZI

KOCHA Mkuu wa Polisi Tanzania,Joslin Sharif amesema kuwa amezungumza na mabeki wake kuhakikisha kwamba hawafanyi makosa mbele ya Yanga leo kwa kumlinda mshambuliaji Fiston Mayele asije kuwaadhibu pamoja na wachezaji wengine. Mayele ni mshambuliaji namba moja ndani ya Yanga ambapo alikamilisha msimu wa 2021/22 akiwa ametupia mabao 16 na pasi nne za mabao leo anakwenda…

Read More

MAKI KWENYE KIBARUA KINGINE

 BAADA ya kupoteza mchezo wa Ngao ya Jamii kwa ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 2-1 Simba,kete ya kwanza kwa Kocha Mkuu,Zoran Maki kwenye ligi ni dhidi ya Geita Gold,utakaochezwa Jumatano, Uwanja wa Mkapa. Maki ana kibarua cha kuweza kuanza kusaka taji la Ligi Kuu Bara ambalo lipo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha…

Read More

YANGA KAZINI LEO KUIVAA POLISI TANZANIA

BAADA ya kutwaa Ngao ya Jamii kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba,Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nassredine Nabi leo Agosti 16 inafungua ukurasa kwenye Ligi Kuu Bara kwa kusaka ushindi mbele ya Polisi Tanzania. Yanga waliweza kutetea taji lao la kwanza ambalo walitwaa msimu uliopita wa 2021/22 ambapo walitwaa taji hilo kwa ushindi…

Read More

TEN HAG AAMBIWA ALIKOSEA KUPANGA KIKOSI

CHAMBUZI wa masuala ya michezo Jamie Redknapp amemlaumu Kocha Mkuu wa Manchester United,Eric ten Hag kwa kipigo cha mabao 4-0 dhidi ya Brentford ugenini kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Jumamosi. United walipata tabu kwenye mchezo huo kwa mabao ya Josh Dasilva,Ben Mee,Bryan Mbuemo na Mathias Jensen. Licha ya kwamba kuna makosa ya washambuliaji…

Read More

RATIBA YA MECHI ZA LEO LIGI KUU BARA

ILE burudani ambayo ilikuwa imekosekana kwa muda sasa inarejea kwa kasi ambapo ni leo Agosti 15,viwanja viwili vitakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu. Ihefu FC ya Mbeya itawakaribisha Ruvu Shooting huku Namungo FC wao watamenyana na Mtibwa Sugar ya Morogoro.  Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, Zuber Katwila imerejea kwenye ligi kwa mara nyingine baada…

Read More

MUDA WA MAANDALIZI UMEFIKA KWA SASA ILI KAZI IENDELEE

MUDA wa kazi umefika kwa kuwa kulikuwa na ule wa maandalizi kwa ajili ya msimu mpya wa 2022/23 ambao utakuwa na ushindani mkubwa. Kufika tamati wa maandalizi ya msimu uliopita inamaana kwamba sasa tunakwenda kuanza jambo lingine na  kutokana na namna ambavyo timu zimejipanga litakuwa ni jambo la maana kweli. Tayari ratiba imeshatolewa hivyo inamaanisha…

Read More

JINA LA MESSI HALIPO KWENYE TUZO YA BALLON D’OR

JINA la Lionel Messi halijatajwa kwenye tuzo ya kuwania katika orodha ya wachezaji 30 ambao wanawania Tuzo ya Ballond’Or. Messi ambaye ana rekodi ya kubeba tuzo hiyo mara saba zikiwa ni nyingi kushinda wachezaji wengine hayupo kwenye orodha iliyotolewa Ijumaa. Sherehe za tuzo hiyo znatarajiwa kufanyika Oktoba 17 mwaka huu Paris,Ufaransa. Kwenye orodha hiyo,Messi anayecheza…

Read More

AZAMKA INAWALETA ZESCO KESHO AGOSTI 14

KESHO Agosti 14 kikosi cha Azam FC kitashuka Uwanja wa Azam Compex ikiwa ni mchezo wa kirafiki. Mchezo huo ni kuhitimisha kilele cha Tamasha la AZAMKA ambalo ni maalumu kwa ajili ya kuwatambulisha wachezaji wapya. Kiingilio kwenye mchezo huo kwenye jukwaa la mzunguko ni 5,000 tu hivyo mashabiki wa Azam FC watakuwa na kazi ya…

Read More