
PANGA LAPITA SIMBA, JESHI LA NABI KAMILI
Mbrazil apitisha panga kimyakimya,jeshi la Nabi kamili,laanza mikakati ndani ya Championi Jumatano
Mbrazil apitisha panga kimyakimya,jeshi la Nabi kamili,laanza mikakati ndani ya Championi Jumatano
MIONGONI mwa nyota ambao wanatajwa kuongezewa kandarasi ndani ya kikosi cha Yanga ni winga teleza Jesus Moloko. Nyota huyo mkataba wake unatarajiwa kugota mwisho mwa msimu huu jambo amalo limewafanya mabosi wa Yanga kuanza mazungumzo naye. Moloko inatajwa kuwa hakuongezewa mkataba kwa mpango kazi maalumu kisha wakamleta Tuisila Kisinda ambaye hajaonyesha ubora wake. “Moloko hakupewa…
JITIHADA za timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kusaka ushindi dhidi ya timu ya taifa ya Uganda zimegonga mwamba. Kwenye mchezo wa leo Machi 28,2023 uliochezwa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ubao umesoma Tanzania 0-1 Uganda. Mchezo wa leo Stars ilikuwa kwenye umaliki mzuri huku nafasi chache zikitengenezwa kutoka kwa viungo pamoja…
MSAFARA wa Simba ambao leo ulianza safari kueleke Morocco kupitia Qatar utaendelea na safari yake kesho Machi 29 2023 baada ya Ndege ambayo walianza nayo safari kupata hitilafu. Hivyo mpango wa kuendelea na safari leo kuelekea Morocco umekwama mpaka siku ya kesho mapema baada ya maboresho ya chombo hicho cha usafiri. Kwa mujibu wa Meneja…
UWAJA wa Mkapa mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 Ivory Coast ngoma bado ni nzito kwa pande zote. Ubao unasoma Tanzania 0-0 Uganda ambapo kila timu inafanya mashambulizi kwa wapinzani kupata ushindi. Tanzania inamtumia Simon Msuva, Mbwana Samatta pamoja na Sopu kwenye upande wa ushambuliaji huku Uganda wakiwa na Emmanuel Okwi na Khalid Lwaliwa ambao…
Kikosi cha Simba SC, kimeanza safari leo Machi 28 kuelekea nchini Morocco kuifuata Raja Casablanca kwenye mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa usiku wa kuamkia Aprili Mosi 2023 nchini Morocco. Msafara ambao unaondoka leo kupitia Qatar una jumla ya wachezaji 13 ikiwa ni pamoja na…
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetangaza kufikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na kocha mkuu wa Yanga Princess, Sebastian Nkoma. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, kwa sasa kikosi hicho kitakuwa chini ya kocha Fredy Mbuna mpaka mwisho wa msimu. Kocha huyo aliibuka ndani ya kikosi hicho akitokea kuinoa Simba Queens…
KAY Mziwanda azungumzia mechi dhidi ya Simba Queens
MWAMBA Mandonga atangaza ngumi mpya, kutetema kama kawaida
CLIFORD Ndimbo, Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) amesema utaratibu wa kuingia kwa mashabiki Uwanja wa Mkapa utaanza saa sita kamili. Leo timu ya Taifa ya Tanzania ina kiarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Uganda ambao ni wa kuwania kufuzu Afcon. Kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Misri uba ulisoma Uganda 0-1…
Nabi aingiza winga Mali, Stars:Tupo tayari kuimaliza Uganda ndani ya Spoti Xtra Jumanne
NAHODHA wa timu ya Taifa ya Uganda, Emanuel Okwi ameweka wazi kuwa kesho watapambana kupata matokeo dhidi ya Tanzania. Uganda ipo Bongo ikiwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Stars kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 Ivory Coast. Katika mchezo uliochezwa Misri, ubao ulisoma Uganda 0-1 Tanzania huku bao likifungwa na Simon Msuva….
JAMBO la nchi, utapenda Ahmed Ally Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ali Kamwe, Ofisa Habari Yanga na Cliford Ndimbo, Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kilichoipa nguvu timu hiyo na kuongoza kundi mbele ya Waarabu wa Tunisia, US Monastri ni umakini wa wachezaji wote pamoja na ushirikiano. Timu hiyo kwenye Kombe la Shirikisho Afrika inaongoza kundi D na mchezo wake uliopita iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 US Monastri kete yao inayofuatwa…
UPENDO ni bora zaidi kwenye ulimwengu wa mpira kwa kuwa unatuunganisha pamoja popote ambapo tupo na hivyo ni muhimu kwa wale ambao wanacheza kuwa makini. Muda huu kuna baadhi ya wachezaji wapo kwenye mapumziko kutokana na timu za taifa kuwa na kazi kwenye kuwania tiketi ya kufuzu Afcon. Hii ipo wazi lakini wapo wachezaji ambao…
SIMON Msuva winga wa Stars amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo dhidi ya Uganda kesho na watapambana kupata ushindi kwenye mchezo huo wa kuwania kufuzu Afcon 2023
HEMED Morocco, kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa kuongezeka kwa wachezaji katika kikosi hicho kunaongeza upana wa kuchagua kikosi kitakachoanza dhidi ya Uganda. Ni Mohamed Hussein na Shomari Kapombe hawa wameongezwa katika timu ya Tanzania inayofanya maandalizi ya mwisho kuikabili Uganda. Ni kesho Uwanja wa Mkapa saa 2:00 usiku…