
KIKOSI CHA AZAM FC DHIDI YA SIMBA
KIKOSI cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala leo kinakazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Simba. Ongala alikiongoza kikosi hicho kwenye mzunguko wa kwanza kuitungua Simba na kusepa na pointi tatu mazima. Hiki hapa kikosi cha Azam FC dhidi ya Simba:- Idrissu Abdulai, Lusajo Mwaikenda, Nathaniel Chilambo,Daniel Amoah,Abdalah Kheri, Isah Ndala, Sospeter…