Saleh

KIKOSI CHA AZAM FC DHIDI YA SIMBA

KIKOSI cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala leo kinakazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Simba. Ongala alikiongoza kikosi hicho kwenye mzunguko wa kwanza kuitungua Simba na kusepa na pointi tatu mazima. Hiki hapa kikosi cha Azam FC dhidi ya Simba:- Idrissu Abdulai, Lusajo Mwaikenda, Nathaniel Chilambo,Daniel Amoah,Abdalah Kheri, Isah Ndala, Sospeter…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AZAM FC UWANJA WA MKAPA

KIKOSI cha Simba leo kina kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Azam FC. Mchezo huo ni wa ligi ikiwa ni mzunguko wa pili na kikosi ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:- Aishi Manula, Shomari Kapombe, Kennedy Juma,Hennock Inonga,Sadio Kanoute,Pape Sakho, Mzamiru Yassin,John Bocco, Saido Ntibanzokiza na Clatous Chama Akiba Beno, Israel, Outtara,Mkude,Kibu,Kapama,Baleke,Habibu, Phiri

Read More

MUDA BADO GARI HALIJAWAKA

MSIMU wake wa kwanza akiwa na Yanga baada ya kusajiliwa kwenye dirisha dogo akiwa ni mchezaji huru. Kiungo Muadhathir Yahaya ameweka wazi kuwa bado hajafikia kwenye uwezo anaofikiria licha ya kupata nafasi za kucheza kwenye mechi za ushindani. Nyota huyo ameingia jumlajumla kikosi cha kwanza cha Yanga kwenye eneo la kiungo mkabaji akionesha makeke yake…

Read More

HAALAND THAMANI YAKE EURO BILIONI 1

UMESIKIA hiyo, thamani ya staa wa Manchester City, Erling Haaland kwa sasa ni euro bilioni 1. Haya yameelezwa na wakala wa staa huyo, Rafaela Primenta ambaye anamsimamia Haaland na mastaa wengine akiwemo Paul Pogba, Marco Verratti, Gianluigi Donnarumma, Matthijs de Ligt. Staa huyo ndani ya Manchester City kwenye Premier msimu huu amefanikiwa kufunga mabao 26,…

Read More

RASHFORD, OSIMHEN, MBAPPE HAWAZUILIKI

SAPRAIZI za kutosha zilijiri wikiendi iliyopita ndani ya ligi tano bora Ulaya. Hii ni kwa namna mambo yalivyoonekana katika viwanja  tofauti kwenye ligi za Bundesliga, La Liga, Serie A, Premier League na Ligue 1. Huko Ulaya vita ilikuwa kali lakini kuna mastaa walionekana kuendelea kutisha kwa kuzibeba timu zao kama Marcus Rashford, Victor Osimhen, Kylian…

Read More

SIMBA WANA IMANI YA KUPATA USHINDI DHIDI YA AZAM FC

ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wamekuwa na matokeo mazuri kwenye mechi za hivi karibuni kwenye ligi jambo linalowapa imani ya kupata matokeo dhidi ya Azam FC. Simba wamekuwa hawana bahati kwa kuwa mchezo uliopita wametoka kupoteza kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kunyooshwa mabao 3-0 dhidi ya Raja Casablanca. Katika mchezo wao…

Read More

MASHABIKI MNASTAHILI PONGEZI

MASHABIKI mnastahili pongezi kwa namna ambavyo mmekuwa bega kwa bega na wawakilishi wa Tanzania kwenye anga za kimataifa. Tunaona kwenye kila hatua mmekuwa pamoja na timu pale zinapofanya vizuri mnafurahi pamoja na pale zinaboporonga mnatoa ushauri kwa viongozi. Kuna mengi ya kujifunza kwa mechi za kimataifa ikiwa hata namna ya ushangiliaji pamoja na kutokata tamaa…

Read More