
VIDEO;SIMBA YAWEKA WAZI MIPANGO KUIKABILI HOROYA
KOCHA Simba acharuka kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya
KOCHA Simba acharuka kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya
Rais wa shirikisho la kandanda duniani Gianni Infantino amesema kwamba ataendelea kuimarisha kukua kwa sekta ya soka ulimwenguni kwa kuinua kiwango cha mpira wa watoto wadogo. Infantino ameyasema hayo mjini Kigali Rwanda baada ya kuchaguliwa tena kwa kipindi cha miaka minne ijayo Gianni Infantino alichaguliwa kwa wingi wa kura za wajumbe wote 208 waliohudhuria kongamano…
MBALI kimataifa kila mchezaji anapenda kuona timu yake inafika hata mashabiki pia wanafikiria jambo hilo hasa ukizingatia kwamba mechi zinazofuata zinachezwa Uwanja wa Mkapa. Kuna furaha kubwa kwenye mechi za kimataifa zinapochezwa Uwanja wa Mkapa mbele ya mashabiki wa timu husika ambao wamekuwa wakijotokeza kwa wingi. Hakika katika hili ni muhimu kila mmoja kuguswa na…
ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema ni muhimu kwa mashabiki kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa kushuhudia kazi dhidi ya US Monastir. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumapili ambapo kwa sasa tiketi zinaendelea kuuzwa. Kwenye muda wa hamasa mashabiki wa Yanga wamepata fursa ya kuzungumza na wachezaji wa timu hiyo kwa njia…
KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema kuwa watajipanga kwa mechi zijazo ili kupata matokeo mazuri. Timu hiyo kwenye mchezo uliopita ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya KMC uliochezwa Uwanja wa Uhuru. Maxime amesema kuwa kuna kazi kubwa ya kuwaandaa wachezaji wake kupata matokeo mazuri kwenye mechi za ligi na wanaamini watarejea kwenye…
Robertinho awafanyia umafia Horoya, Yanga wapo tayari kuwamaliza Waarabu ndani ya Championi Ijumaa
DROO ya mashindano ya Azam Fedaration hatua ya robo fainali imechezeshwa leo Machi 15,2023 Dar, watani wa jadi Simba na Yanga hawatakutana katika hatua ya robo wala nusu fainali. Msimu uliopita Yanga ilicheza nusu fainali dhidi ya Simba na kushinda 1-0 kisha ikatinga fainali ikamenyana na Coastal Union ya Tanga. Robo fainali ilivyochezeshwa ngoma itakuwa…
Bahati haiji kwa siku moja lakini msemo huu una maana kubwa kwa bodada wa Kawe ambapo Meridianbet, iliwapatia Reflector ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani, ambapo Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Meridianbet Matina Nkurlu pamoja na Msaidizi wa kitengo cha usalama barabarani Kawe Inspekta Alex Duguza alitoa elimu….
MANCHESTER City kwenye mchezo wa UEFA Champions League wamemchapa RP Leipzig mabao 7-0. Uwanja wa Etihad ulisoma hivyo na kuwapa nafasi ya kusonga mbele kwa jumla ya mabao 8-0. Ni Erling Haaland alitupia kambani dakika ya 22 kwa mkwaju wa penalti, 24,45,53 na 57 mwamba aliwapa tabu Sana. Ilkay Gubdogan alitupia dakika ya 49 na…
BAADA ya Geita Gold kuambulia kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Yanga ,Mkurugenzi wa Geita Gold Zahar Michuzi amefunguka na kusema kuwa Yanga waliwapangia kikosi cha CAF. Mchezo huo ulipigwa wikiendi hii Jumapili kwenye Uwanja wa Chamazi ambapo Geita Gold ilianza kufunga kisha ikakwama kushinda mchezo huo. Mwenyeketi wa Geita Gold Zahar amesema “Kitendo cha…
SIMBA kamili kimataifa, jembe la kazi lajumuishwa kikosini
IKIWA watakuja wageni na kuondoka na ushindi nyumbani kweye hatua za makundi mechi za kimataifa ni maumivu makubwa kwelikweli. Hiana maana kwamba waohawana uwezo wa kushinda lakini ni namna ya uhitaji ulivyo mkubwa kwa sasa kwa kila timu hasa Simba na Yanga. Mechi za nyumbani kwa kila mmoja kwa sasa zimeshikilia maamuzi ambayo yataleta hatua…
ISHU ya Feisal Salum kuitwa Stars shabiki wa Simba afungukia na kutaja siasa za Simba na Yanga zinaleta shida
MATAJIRI wanunua mabao ya Yanga,beki Simba aondolewa kambini
KIUNGO wa kazi ndani ya Simba, Hassan Dilunga amerejea kwenye uwanja wa mazoezi baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akipambania afya yake. Nyota huyo aliumia kwenye mazoezi wakati timu hiyo ilipokuwa kwenye maandalizi ya mechi zake za ushindani. Taarifa iliyotolewa na Simba imeeleza kuwa HD amerejea ndani ya kikosi hicho baada ya kupona. Hivi…
MOHAMED Abdalaha, ‘Bares’ Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons amesema kuwa mashabiki wawe na Imani timu hiyo haitashuka daraja licha ya presha ambayo wanaipitia pamoja na mwendo ambao hawaufurahii. Mchezo wao uliopita Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 2-3 Tanzania Prisons na kuwafanya wasepe na pointi tatu ugenini. Haikuwa kwenye mwendo mzuri katika mechi zake za hivi…