Saleh
GOMES IMANI YAKE NI KWA SIMBA KUSHINDA
DIDIER Gomes, aliwahi kuwa kocha mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa kwa namna kikosi hicho kilivyo kinaweza kupata ushindi mbele ya Red Arrows katika...
HAALAND AINGIA ANGA ZA REAL MADRID
IMEELEZWA kuwa nyota wa kikosi cha Borussia Dortmund, Erling Haaland yupo kwenye hesabu za mabosi wa Real Madrid ambao wanawinda saini yake.
Ripoti zinaeleza kuwa...
LEO KITAWAKA STAMFORD BRIDGE
LEO Novemba 28, Uwanja wa Stamford Bridge kitawaka kwa mchezo mkali wa Ligi Kuu England kati ya Chelsea v Manchester United.
Mwamuzi wa kati atakuwa...
KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA RED ARROWS
KAZI itakuwa moja kwa Kocha Mkuu, Pablo Franco kuwaongoza vijana wake kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni wa mtoano dhidi...
YANGA YAKWEA PIPA KUWAFUATA MBEYA KWANZA
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Novemba 28 kimekwea pipa kwa ajili ya kuelekea Mbeya.
Ni Air Tanzania itawafikisha Mbeya kwa...
MSIMAMO WA LIGI KUU BARA UPO NAMNA HII
MSIMU wa 2021/22 unazidi kuchanja mbuga mdogomdogo na kwa sasa kuna timu zipo raundi ya 6 na nyingine ni ile ya saba. Msimamo upo...
UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
MBINU ZA RED ARROWS MIKONONI MWA PABLO
KOCHA Mkuu wa Klabu ya Simba, Mhispania Pablo Franco amefunguka kuwa amenasa mbinu zote ambazo wapinzani wake kwenye Kombe la Shirikisho kutoka Zambia, Red Arrows wanatumia.
Pablo amesema kwa zaidi ya wiki...
BANGALA AANDALIWA KWA AJILI YA SIMBA
YANGA imedhamiria kuwafunga kwa mara pili watani wao Simba, ni baada ya kumpumzisha kwa makusudi kiungo wao mkabaji, Mkongomani Yannick Bangala katika mchezo ujao wa Ligi Kuu Bara.
Mchezo ujao wa ligi wa Yanga watacheza dhidi ya Mbeya...
DOZI HII WAMEANDALIWA WAZAMBIA WA SIMBA
KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco, raia wa Hispania, amefichua malengo yao makubwa kwa sasa ni kuhakikisha wanawaondoa wapinzani wao katika Kombe la Shirikisho Afrika, Red Arrows ya Zambia kutokana na...
YACOUBA KUKOSEKANA YANGA MSIMU MZIMA
LICHA ya mafanikio makubwa ya upasuaji wa goti aliofanyiwa kiungo Mburkinabe wa Yanga, Yacouba Songne, imeelezwa kuwa kiungo huyo yupo hatarini kukosa michezo iliyosalia ya msimu huu kutokana na...
SIMULIZI YA ALIYEACHWA KISA MKWANJA
SIMULIZI ya aliyeachwa kisa ishu ya mkwanja
Tuiishi pamoja na mume wangu Kibet katika kaunti ya Lamu ambapo nilifanya kazi ya udaktari katika
hospitali moja ya...
RONALDINHO ANUKIA JELA ISHU YA MAPENZI
NYOTA wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil na Klabu ya Barcelona na AC Milan, Ronaldinho ameonywa kwamba anaweza kuibukia jela ikiwa atashindwa...
STERLING KUSAINI DILI JIPYA CITY
MANCHESTER City wana imani kubwa ya kumpa dili jipya nyota wao Raheem Sterling ili aweze kuendelea kuitumikia timu hiyo kwa kuwa dili lake linakaribia...
MABOSI SIMBA WAMUWEKEA MTEGO PABLO
WAKATI kesho Pablo Franco akiwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Red Arrows katika mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho, mabosi wa...
TENGENEZA MKWANJA KWENYE MICHEZO YA KIBABE WIKIENDI HII
Ligi Soka barani Ulaya kuendelea wikiendi hii. Unaweza kutengeneza faida kupitia Meridianbet ukichagua kubashiri kwenye EPL, LaLiga, SerieA na Championship. Odds za wikiendi hii...
YANGA WATUA KWA MASHINE HII,NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi