Saleh
VIDEO:DEJAN MZUNGU WA SIMBA AFURAHIA WIMBO WA MLETE MZUNGU
MZUNGU wa Simba, Dejan amesema kuwa wimbo wa mlete mzungu ni mzuri na anaufurahia pia amebainisha kwamba atapambana kufunga kwenye mechi ambazo atacheza
SAUTI:MWAKINYO NA HAJI MANARA WACHARURANA
OFISA Habari wa Yanga, Haji Manara na bondia Hassan Mwakinyo wameingia kwenye majibizano baada ya Mwakinyo kupigwa kwa TKO kwenye pambano lake
VIDEO:RAIS WA YANGA AWATAJA MABINGWA NDONDO CUP
INJINIA Hersi Said, Rais wa Yanga amebainisha kuwa mabingwa wa Ndondo Cup wanatokea kwenye mitaa inayojulikana na watafanya kazi kuweza kutengeneza muunganiko
BRIGHTON WAPINDUA MEZA, WATEMBEZA 5G
LICHA ya Leicester City kuanza kupata bao la mapema kuongoza dakika ya kwanza halikuwapa nguvu ya kukusanya pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu...
ARSENAL WACHANA MKEKA
ARSENAL inayonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta imepoteza kwa mara ya kwanza msimu wa 2022/23 kwa kufungwa mabao 3-1 dhidi ya Manchester United kwenye...
MABOSI SIMBA WACHARUKA,YANGA WAFUNGUKA USAJILI KISINDA
MABOSI Simba wacharuka, mastaa Yanga wafunguka usajili wa Kisinda, ndani ya Championi Jumatatu
RWEYEMAMU:MAFANIKIO YA SIMBA HUWEZI MUACHA GEMBE
PATRICK Rweyemamu, Meneja wa Simba ameweka wazi kuwa mafanikio ya timu hiyo huwezi kuyataja na kumuweka pembeni Dk Yassin Gembe.
Gembe alitangulia mbele za haki...
RATIBA YA MECHI ZA YANGA SEPTEMBA
HII hapa ratiba ya Yanga, ndani ya mwezi Septemba mechi za kitaifa na kimataifa zipo namna hii:-
Septemba 6,2022, Uwanja wa Mkapa, saa 1:00 usiku.
Septemba...
VIDEO;INASIKITISHA, MWAKINYO ASIMULIA FITINA ALIZOFANYIWA
BONDIA Hassan Mwakinyo amesimulia fitina ambazo amefanyiwa nchini Uingereza kwenye pambano ambalo amecheza na kupoteza kwa TKO
VIDEO:ISSA AZAM WA ASEMA MAYELE ALIOMBA KUCHEZA SIMBA
ISSA Azam shabiki wa Simba ameweka wazi kuwa mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele aliomba kusajiliwa Simba akaambiwa hawezi kucheza huko
LIVERPOOL MWENDO WAKE MGUMU
LICHA ya kuwa na mastaa wake wote ndani ya kikosi cha Liverpool ikiwa ni Mohamed Salah, Roberto Firmino, Virgil Van Djik waliambulia pointi moja...
VIDEO:MWAKINYO ABAINISHA ALIIBIWA BEGI
BONDIA Hassan Mwakinyo, Mtanzania ambaye ampeteza kwa kupigwa TKO nchini Uingerza amebainisha kuwa aliibiwa begi lake jambo lililofanya apewe viatu tofauti kwenye pambano lake...
KOCHA MAN U AKIRI ARSENAL NI WAGUMU
ERIC ten Hag, Kocha Mkuu wa Manchester United ameweka wazi kuwa atakabiliana na wapnzani wao Arsenal ambao ni kipimo sahihi kwake kutokana na ubora...
KOCHA NABI AMUONYA KISINDA,ZORAN ABAKI NJIA PANDA SIMBA
KOCHA Nabi amuonya Kisinda, Zoran Maki abaki njia panda Simba ndani ya Spoti Xtra, Jumapili
MWAKINYO ATAJA SABABU ZA KUPIGWA TKO
BONDIA Mtanzania Hassan Mwakinyo ameomba msamaha kwa kushindwa dhidi ya mpinzani wake Liam Smith ambalo lilifanyika jijini Liverpool nchini Uingereza na Mwakinyo kushindwa kwa...
ORODHA YA MASTAA KUTOKA DR CONGO YATAWALA BONGO
LIGI Kuu Tanzania Bara msimu wa 2022/23 imeanza kwa ushindani mkubwa huku kila timu zikikamilisha usajili wao kwa kile ambacho walikuwa wanahitaji.
Nyota wapya wakigeni...
VIDEO:SHABIKI SIMBA AWAZUNGUMZIA INONGA,BANGALA,MZUNGU
SIMBA imenyooshwa bao 1-0 dhidi ya Arta Solar kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Uhuru,shabiki wa Simba ameweka wazi kuwa kila mchezaji anatimiza...