
WAKALI WAKIWA LANGONI HAWA HAPA
MIONGONI mwa makipa ambao hawajafungwa kwenye mechi zaidi ya tano jina la Said Kipao ambaye yupo chini ya Kocha Mkuu, Mecky Maxime jina lake pia. Anakumbuka alikuwa langoni alitunguliwa mabao matano na Yanga kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Kipa huyo wa Kagera Sugar hajafungwa kwenye mechi sita ndani ya Ligi Kuu…