
BEKI YANGA SC APATA DILI NONO
BEKI wa zamani wa Yanga SC Gift Fred ambaye alishindwa kupata namba kikosi cha kwanza…
BEKI wa zamani wa Yanga SC Gift Fred ambaye alishindwa kupata namba kikosi cha kwanza na kupewa Thank You anatajwa kupata dili nono kwa ajili ya changamoto mpya. Gift Fred anakaribia kujiunga na Klabu ya KCCA ya nchini Uganda katika msimu ujao wa 2025/26 kwa ajili ya kutimiza majukumu yake. Gift anakwenda kujiunga na KCCA…
INAELEZWA kuwa Jean Ahoua kiungo mshambuliaji wa Simba SC chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Fadlu Davids kwenye mechi za ushindani ndani ya msimu wa 2024/25 yupo kwenye rada za mabosi wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Ahoua ni anayevaa jezi namba 10 mgongoni ana uwezo kwenye kufunga na kutoa pasi za mabao akiingia kwenye…
KIUNGO wa mpira ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi amerejea kazini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za kukamilisha mzunguko wa pili 2024/25. Yanga SC ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 73 baada ya mechi 27 ni mechi tatu zimebaki kwa mujibu wa ratiba huku wao wakibainisha kuwa…
Tunakuletea mpambano wa mafia ambapo utakutana na bonasi za kasino zisizoweza kushindwa. Ni wakati wa kuchagua upande utakaokupeleka kwenye mizunguko ya mara nyingi. Furahia sherehe ya kipekee. Mafia Clash ni mchezo wa kasino ya mtandaoni inaotoa bonasi kibao kwa wachezaji, sloti hii imetengenezwa Hacksaw Gaming. Mchezo huu kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni una thamani inayoweza…
Neno Kasino unapolisikia kwa mara ya kwanza unapata picha gani? Iko hivi Kasino ni sehemu nzuri yenye kila kitu cha kufurahi, ikiwemo michezo mingi na rahisi kushinda, Makamaria wengi hupenda kucheza na dau kubwa ili upate ushindi mkubwa ndiyo maana Merdianbet imeamua kuusogeza mchezo huu mpaka kiganjani mwako na unaweza kucheza kasino mtandaoni popote ulipo….
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajiwa kushuka dimbani usiku wa leo kuwakabili wenyeji wao, Bafana Bafana ya Afrika Kusini, katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaopigwa kwenye Uwanja wa Peter Mokaba kuanzia saa 2:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu unatoa nafasi ya kutengeneza pesa kubwa kwa wabashiri kupitia Meridianbet. Licha…
Percy Muzi Tau amefikia makubaliano kuvunja mkataba wake na Qatar SC baada ya miezi Sita tu klabuni hapo… Tau sasa ni mchezaji huru sokoni anaweza kujiunga na klabu yoyote itayofikia makubaliano nae.
Meridianbet wamekuja na fursa ya kipekee kwa wateja wake ambapo kwa shilingi 5000 pekee inampa nafasi ya kuondoka na simu janja aina ya Samsung A25, hivyo shiriki sasa uwe moja ya washindi watakaotangazwa siku maalumu. Kushiriki promosheni hii lazima uwe umejisajili na Meridianbet na ubashiri mechi za ligi ya mpira ambapo kwenye promosheni hii dau…
Mighty Empire Hold and Win ni sloti mtandaoni iliyoletwa na mtoa huduma iSoftBet. Mchezo huu una bonasi ambazo hutolewa kwa wachezaji wote wa kasino ya mtandaoni na Bonasi ya Hold and Win ambayo ni njia yako ya haraka kwenye ushindi mkubwa. Mighty Empire Hold and Win ni sloti ya kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano…
SIMBA imekataa ofa ya Sh 500Mil kutoka Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ya kumuuza kiungo wake mshambuliaji , Kibu Denis katika msimu ujao. Inaelezwa sababu ya kugomea kumuachia kiungo huyo, udogo wa dau hilo ambalo alijawashawishi Bodi ya Wakurugenzi ya timu hiyo. Hivyo lazima dili hilo la Kibu kuuzwa Chiefs limekufa rasmi, kiungo huyo ataendelea…
Meridianbet inafurahia kutangaza kampeni mpya inayowezesha wateja wake kupata Samsung A25 mpya kabisa kwa urahisi kupitia huduma ya USSD. Wateja sasa wanaweza kushiriki na kudai zawadi zao kwa kupiga *149*10# bila shida yoyote, kwa haraka na kwa usalama wa hali ya juu. Hii ni fursa ya kipekee kwa wapenzi wa teknolojia kupata simu bora mkononi,…
ALIYEKUWA beki wa kati wa Yanga, Gift Fred anakaribia kujiunga na Klabu ya KCCA ya nchini Uganda katika msimu ujao. Gift anakwenda kujiunga na KCCA kama mchezaji huru baada ya mkataba wake wa mkopo St George ya nchini Ethiopia kumalizika. Yanga ndiyo iliyompeleka beki huyo kwa mkopo St George katika msimu wa 2024-2024 baada ya…
Mchambuzi wa soka nchini, Saleh Jembe amefunguka na kueleza kuwa waliosababisha hili jambo ni klabu ya Yanga SC isingekuwa wao kuwazuia Simba SC basi tusingefika huku.
Dar es Salaam – Wazee na Wenyeviti wa Matawi wa Klabu ya Yanga leo Juni 5, 2025 wamejitokeza hadharani makao makuu ya Klabu hiyo na kutoa tamko rasmi wakipinga vikali ushiriki wa klabu hiyo katika mchezo wa watani wa jadi (derby) uliopangwa kufanyika tarehe 15 Juni, 2025 Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Kupitia…
Katika kuendelea kutoa furaha na faida kwa wachezaji wa kasino mtandaoni, Meridianbet kwa kushirikiana na Expanse wamezindua ofa kabambe kupitia mchezo wa Zombie Apocalypse. Ofa hii maalum inakupa nafasi ya kipekee, ukicheza mizunguko 100 leo, unapata mizunguko 50 ya bure kesho. Hii ni zawadi ya kipekee kwa wale wote wanaotafuta burudani yenye thamani. Zombie Apocalypse…
RASMI Uongozi wa Yanga umetangaza kufunga mjadala wa kuzungumzia kucheza mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba ambao ulihairishwa na Bodi ya Ligi Kuu Bara ambao umepangwa kupigwa Juni 15, mwaka huu Uwanja wa Mkapa, Dar. “Sisi tuna mawasiliano na bodi ya ligi, kuelekea dabi sisi tumeshatoa msimamo wetu na tumeshaweka ‘fixtures’ zetu za kumaliza…
KLABU ya Yanga imefikia makubaliano mazuri ya kumuongezea mkataba mwingine beki na nahodha wake msaidizi, Dickson ‘Dick’ Job. Inealezwa makubaliano hayo yaliyofikiwa ya miaka miwili kwa dau na mshahara mnono aliouongezewa katika mkataba huo mpya. Beki huyo muda wowote anatarajiwa kusaini mkataba huo mpya huku akiandaliwa utambulisho mkubwa wa kumbakisha beki huyo aliyekuwa anatajwa kwenda…