Wapinzani wa Yanga SC Silver Strikers wameanza kiburi mapema, watua wakicheza
WAPINZANI wa Yanga SC, Silver Strikers wameanza kiburi mapema kuelekea kwenye mchezo wa Ligi ya…
WAPINZANI wa Yanga SC, Silver Strikers wameanza kiburi mapema kuelekea kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga SC, Oktoba 25,2025. Yanga SC wanakibarua cha kusaka angalau ushindi wa mabao 2-0 ili kukata tiketi ya kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Faida ya bao 1-0 walilopata ugenini limewapa kiburi ambapo waliwasili…
Ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana wewe kuondoka na pesa unayoitaka kwani tayari nafasi ya kuondoka na mkwanja ni ndefu sana. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanakungoja wewe pekee. Huu ni wakati wako wa kuondoka na pesa nyingi. Genk atakuwa uso kwa uso dhidi ya Real Betis ya Hispania ambao ndio wanaopewa nafasi…
Simba SC vs Nsingizini Hotspurs uongozi wa timu hiyo umebainisha kwamba utaingia uwanjani kama tmu ambayo haijafunga hivyo ni sawa na kusema matokeo yafutwa mazima ili kuongeza ushindani kwenye mchezo huo wa marudio unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wa…
Huu ni mwezi wa kujikusanyia pesa tu. Ukiwa na Meridianbet, jua umechagua kushinda kila siku, kwani wanahakikisha kila mwanafamilia wake ananufaika. Na sasa, wamezindua Win&Go, mchezo unaokupa fursa ya kushinda kila baada ya dakika tano. Zaidi ya hapo, unacheza bila hofu ya kupoteza kwani ukikosa, unarejeshewa 10% ya dau lako siku inayofuata. Wachezaji wote wanaoshiriki…
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Hakim Ziyech, amefikia makubaliano ya kujiunga na klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kwa mujibu wa mwandishi maarufu wa masuala ya usajili, Fabrizio Romano, Ziyech amesaini kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Al-Duhail ya Qatar mwishoni mwa msimu uliopita. Ndani ya kikosi…
ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa leo. Ili kutengeneza mkwanja siku hii ya leo, ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa. Enzo Maresca na Chelsea yake baada ya kupata ushindi mwembamba mechi yao iliyopita, leo hii watakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Ajax ambao…
KUELEKEA kwenye mchezo wa marudiano CAF Champions League, Oktoba 25 2025 uongozi wa Yanga SC umeweka wazi kuwa mechi hiyo itakuwa mikononi mwa mashabiki baada ya kuomba wapewe hilo jukumu. Hiyo imetokana na mashabiki wengi kufunga safari kuelekea nchini Malawi kuishangilia timu hiyo Oktoba 18, 2025 kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Bingu matokeo…
Simba SC vs Nsingizini Hotspurs CAF Champions Oktoba 26,2025 unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa maamuzi. Ipo wazi kwamba katika mchezo wa kwanza uliochezwa Oktoba 19 2025 Eswatini, Simba SC iliibuka na ushindi wa mabao 3-0. Kwenye mchezo huo wa ugenini, Kibu Dennis alifunga mabao mawili na bao la ufunguzi lilifungwa na…
Wapenzi wa michezo ya kasino, habari njema imewasili kwenu. Meridianbet, kinara wa michezo ya kasino mtandaoni, imezindua Clash 4 Ca$h Tournament, mashindano makubwa zaidi kuwahi kutokea, yakibeba zawadi ya jumla ya zaidi ya TZS 1.5 Bilioni. Hii ni nafasi ya kipekee kwa wachezaji wote nchini kuonyesha uwezo wao kwenye michezo ya sloti na kuwania nafasi…
Ndugu mteja wa Mteja wa Meridianbet unajua kuwa unaweza ukatengeneza pesa zako leo hii na Meridianbet kwenye mitanange ya UEFA inayoendelea kwenye mechi za raundi ya 3?. Weka dau lako la ushindi na ufurahie ushindi sasa. Napoli wao watasafiri kukiwasha dhidi ya PSV ambao walitoa sare mechi yao iliyopita wakiwa nyumbani. Tofauti ya pointi kati…
Aliyekuwa kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, amefichua sababu zilizomfanya kukataa ofa ya kujiunga na Manchester United kabla ya kuchukua mikoba ya Liverpool mwaka 2015. Akizungumza katika mahojiano maalum, Klopp alisema hakuvutiwa na mpangilio na maono ya muda mrefu ya United wakati huo, akieleza kuwa hakuhisi uwepo wa dira thabiti ya maendeleo ndani ya…
MARRAKECH, Morocco — Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ya Morocco imeandika historia baada ya kutwaa taji la Kombe la Dunia la Vijana (FIFA U-20 World Cup) kwa mara ya kwanza, ikipata ushindi wa mabao 2–0 dhidi ya Argentina katika mchezo wa fainali uliopigwa Jumapili. Shujaa wa pambano hilo alikuwa…
Wapenzi wa michezo ya kasino, Meridianbet imekuandalia zawadi ya kipekee isiyopitwa na wakati msimu huu wa Halloween. Ni Trick or Treat Bonanza. Huu ni mlango wa kuingia katika ulimwengu wa vishawishi vya kutisha, pipi za maajabu, na ushindi unaotisha kwa ukubwa wake. Jiandae kwa safari ya kusisimua inayochanganya burudani ya kipekee na nafasi halisi ya…
Nyumba ya washindi inakuita uje ufanikishe malengo yako ambayo umejiwekea sasa. Miliki mkwanja mrefu kwa kubashiri mechi za ligi mbalimbali sasa kwani Odds za kibabe na machaguo mengi yapo hapa. SERIE A kule Italia kuna mechi ya kukata na shoka ambayo itapigwa kati ya Cremonese dhidi ya Udinese Calcio huku tofauti ya pointi kati yao…
Simba SC vs Nsingizini Hotspurs ukurasa ndo kwanza uaanza licha ya mchezo wa ugenini uliochezwa Oktoba 19,2025 mnyama kupata ushindi wa mabao 3-0 mchezo ulichezwa Uwanja wa Somholo, Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema bado hawajatinga hatua ya makundi kutokana na ugumu wa kila mchezo CAF Champions League hivyo…
UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kuwa unaamini utafanikiwa kuandika historia kwa kutinga hatua ya makundi kwa kupata ushindi kwenye mchezo ujao dhidi ya Silver Strikers. Ikumbukwe kwamba Oktoba 18, 2025 matokeo yalikuwa Yanga SC 0-1 Silver Strikers CAF Champions League mchezo uliochezwa Uwanja wa Bingu. Goli la ushindi lilifungwa dakika ya 76 na Andulu Yosefe…
Je unajua kuwa ni wakati mwingine tena wa ushindi na zawadi nono kutoka kwa kampuni inayoongoza kwa michezo ya kubashiri nchini Meridianbet! Ambapo ndani ya promosheni mpya ya Jumatano ya Zawadi imekuja kukupatia nafasi ya kujishindia simu aina ya Samsung A26 kwa njia rahisi na ya kusisimua Kupitia promosheni hii, mchezaji anachotakiwa kufanya ni kubeti…