Msafara wa Simba SC ndani ya Afrika Kusini

WAWAKILISHI wa Tanzania, Simba SC chini ya Meneja Mkuu Dimitar Pantev wanakibarua kuelekea mchezo ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika na mapema Oktoba 16 2025 walianza safari kuelekea Eswatini. Tayari Msafara wa kikosi cha Simba SC wenye wachezaji 22 umewasili salama Afrika Kusini ikiwa ni njia kwa ajili ya kuelekea Eswatini. Safari ya Simba SC…

Read More

Simba SC yatambulisha kocha mpya kuwanoa Camara, Yakoub

 Simba SC imemtambulisha kocha mpya ambaye atakuwa anawanoa makipa watimu hiyo kwa msimu wa 2025/26 kwenye mechi za ushindani. Anaitwa Vitomir Vutov ametambulishwa rasmi kuwa kocha wa timu hiyo yenye maskani yake Kariakoo mtaa wa Msimbazi. Ni Hussen Abel, Moussa Camara na Yakoub Suleiman haw ani makipa wa Simba SC watanolewa na mwalimu huyu mpya…

Read More

Romain Folz: Tunazidi kuimarika hatua kwa hatua

ROMAIN Folz, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa wanazidi kuimarika hatua kwa hatua kadri siku zinavyokwenda kutokana na maandalizi yanayofanyika. Kikosi cha Yanga SC kinatarajiwa kuondoka leo Oktoba 16 2025 kuelekea Malawi kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Silver Striker unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 18 2025. Folz amebainisha…

Read More

Meridianbet Yaendelea na Ubunifu – Lucky Loser Yaleta Furaha Mpya kwa Wabashiri

Meridianbet inaleta habari njema kwa wapenda kubashiri: hata unapokosa namba zote, unaweza kuibuka mshindi kupitia promosheni ya Lucky Loser kwenye mchezo wa Win&Go! Ikiwa umeweka tiketi yenye namba 6 kwa pesa taslimu na bahati haijakaa upande wako, usiwe na wasiwasi, tiketi yako inakuwa mshindi mara moja kwa dau lako kuzidishwa x30. NB; Meridianbet haikuachi nyuma,…

Read More

Simba SC kuwafuata wapinzani wao kimataifa Eswatini

WAWAKILISHI wa Tanzania katika anga la kimataifa Simba SC wanatarajiwa kukwea pipa kesho Oktoba 16 kuelekea Eswatini kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC ina kibarua cha kusaka ushindi raundi ya kwanza ya CAF Champions League dhidi ya Nsingizini Hotspurs kikiwa ugenini. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Oktoba…

Read More

Yanga SC kuwafuata wapinzani wao CAF

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu Romain Folz wapo tayari kuelekea mchezo wao ujao ugenini. Kikosi cha Yanga SC kinatarajiwa kuwafuata wapinzani wao nchini Malawi Oktoba 16 kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wao ujao. Mchezo wa hatua ya pili katika Ligi ya Mabingwa Afrika 2025 yenye…

Read More

Teachers from Henan Polytechnic Institute (HPI) Travel to Tanzania’s “Zhangheng School”

Though thousands of miles apart from Henan Province, China to Dar es Salaam, Tanzania, the cooperation in vocational education has advanced smoothly. On July 31, two teachers majoring in Mechatronics from Henan Polytechnic Institute (HPI), Du Yichen and Liu Yachuang, set off on a mission to the Kipawa Information and Communication Technology (ICT) Center under…

Read More

Uwanja wa Sokoine Wafungwa Kutumika Kwa Mechi za Ligi

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia Uwanja wa Sokoine uliopo jijini Mbeya kutumika kwa michezo ya Ligi, kutokana na kushindwa kukidhi vigezo vya kikanuni na masharti ya sheria za mpira wa miguu. TFF imesema miundombinu ya uwanja huo haikidhi matakwa ya Kanuni za Leseni za Klabu, kama ilivyoainishwa kwenye masharti ya kanuni hizo….

Read More

Slotopia Imeingia na Balaa Lake, Usikose Kuokota Kupitia Meridianbet

Katika harakati za kuendelea kuimarisha burudani kwa wateja wake, Meridianbet kwa mara nyingine imeibuka na habari njema kwa wapenda michezo ya kasino mtandaoni. Kupitia jukwaa lake la kisasa, Meridianbet sasa imeanzisha ushirikiano mpya na mtoa huduma wa michezo anayefahamika kama Slotopia, jina jipya lakini lenye maudhui mazito ya ubunifu na ushindi mkubwa. Slotopia si mtoa…

Read More

Simba SC yakataa uhuni kwenye mpira wa miguu

UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa haukubaliani na vitendo vya kihuni kwenye mpira wa miguu kwa kuwa unarudisha nyuma maendeleo ya wachezaji na timu kiujumla. Simba SC inapeperusha bendera katika Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa hatua ya pili inatarajiwa kucheza mchezo wake wa kimataifa dhidi ya Nsiginzini Hotspurs Oktoba 19 2025 pia inaongoza ligi…

Read More