Yanga SC vs Silver Strikers hesabu zimeanza mapema
UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kuwa unaamini utafanikiwa kuandika historia kwa kutinga hatua ya makundi kwa kupata ushindi kwenye mchezo ujao dhidi ya Silver Strikers. Ikumbukwe kwamba Oktoba 18, 2025 matokeo yalikuwa Yanga SC 0-1 Silver Strikers CAF Champions League mchezo uliochezwa Uwanja wa Bingu. Goli la ushindi lilifungwa dakika ya 76 na Andulu Yosefe…