Rekodi za Namungo FC 1-3 Yanga SC NBC Premier League

Mabingwa watetezi wa NBC Premier League, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi wamefungua ukurasa wa kwanza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa, Agosti 15,2026 ukisoma Namungo FC 1-3 Yanga SC. Weka kando matokeo hayo ya ushindi kwa wageni, dakika 90 zilitawaliwa na rekodi kibao ambazo zimeandikwa na hapa tunakuletea 5 ambazo zilibamba…

Read More

Shakira Aahidi Kujenga Upya Shule 10 Zilizoharibiwa na Tetemeko Colombia

Quibdó, Colombia — Mwanamuziki maarufu wa Colombia, Shakira Mebarak Ripoll, ameahidi kushiriki katika juhudi za kurejesha miundombinu ya elimu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo, likiwemo kujenga upya shule 10 pamoja na kurejesha Chuo Kikuu cha Teknolojia katika eneo la Chocó. Ahadi hiyo imetolewa baada ya Shakira kutembelea Quibdó, Chocó, ambako alitembelea baadhi…

Read More