Mpango wa Infantino wa Uwekezaji FIFA Wagonga Mwamba Baada ya Upinzani Mkali
Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amepata pigo kubwa kisiasa baada ya mpango wake wa kuanzisha kampuni ya kibiashara ya kusimamia haki za mashindano ya FIFA, ikiwemo Kombe la Dunia, kushindikana kufuatia upinzani mkali kutoka kwa wadau mbalimbali wa soka duniani. Katika taarifa iliyotolewa Ijumaa, FIFA ilithibitisha kuwa imeondoa rasmi pendekezo hilo baada ya kuzua mgawanyiko…