Mzize, Shalulile, Toure, Mwijage na Okello: Yanga Yaonyesha Silaha Mpya za Msimu
Uongozi wa Klabu ya Yanga SC umeweka wazi mipango mikubwa kuelekea msimu mpya, huku ikielezwa kuwa mfadhili wa klabu hiyo, Ghalib Said Mohamed (GSM), ametenga bajeti ya takribani Sh bilioni 15 kwa ajili ya usajili wa wachezaji pekee. Kauli hiyo imetolewa na Msemaji wa Yanga SC, Ali Kamwe, ambaye amesema Rais wa klabu hiyo, Eng….