Mechi za Kukata na Shoka Leo, Ipswich Vs Arsenal, Liverpool Vs Tottenham

Tukiwa bado tunaendelea na mitanange ya ligi mbalimbali, leo hii kuna mechi za kukata na shoka. Ingia Meridianbet na usuke jamvi lako la uhakika kwani Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa.

Carabao Cup Raundi ya 3 kule Uingereza yataendelea ambapo mechi zipo kibao za kukufanya uwe mshindi, Ipswich atamenyana dhidi ya Arsenal ambao ni mabingwa watetezi wa ligi na vinara wa ligi hadi sasa huku nafasi ya kuondoka na mpunga ikiwa nje kabisa.

Mechi hii inakutanisha timu mbili zenye uwezo tofauti ambapo vijana wa Arteta wako kwenye kiwango bora sana si kwenye ligi tuu, bali kwenye mashindano yote ambapo wenyeji wao kwenye ligi hadi sasa wamekusanya pointi 6 kwenye mechi 4 huku wakiwa wameshinda mechi mbili na kupoteza mbili pia.

Huku Arsenal wao wameshinda mechi zote nne ambazo wamecheza huku wakiwa wameruhusu bao moja hadi sasa, na ni moja ya timu ambazo zinasifika kwa kujilinda zaidi hivyo ni ngumu mpinzani kupata goli.

Pesa kubwa ipo kupitia michezo ya Kasino ya Mtandaoni kama vile, Keno, Aviator, Poker, Roulette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

Mechi nyingine ni hii ya Liverpool dhidi ya Tottenham Spurs ambao wameanza msimu vibaya sana wakiwa hawajashinda mechi yoyote hadi sasa , lakini pia bila kufunga bao lolote.

Kocha huyo wa Liver Iraola bado inajitafuta kwani imekuwa haina matokeo ya kushawishi sana tena hawa baada ya kutoa suluhu kwenye mechi yao wakiwa Anfield. Hii ni mechi ambayo Jogoo anahitaji kushinda ili kuthibitisha kwa mashabiki zao kuwa mpia una matokeo matatu.

Spurs licha ya kufanya usajili mkubwa msimu huu timu bado haipati matokeo mzuri, ambapo De Zerbi sasa ana kibarua kizito cha kufanya kipindi ambacho bado mechi hazijachanganya.

Mara ya mwisho kukutana timu hizi mbili, walitoa sare huku nafasi kubwa ya kupata ushindi pale Meridianbet anapewa Liver. Je wewe unampa nani nafasi kubwa ya kupata ushindi?. Suka jamvi hapa.

LALIGA kule Hispania ni mto juu ya moto Elche atamleta kwake  Real Madrid ambapo kila timu inahitaji ushindi wa pointi 3 ili kuendelea kujiweka sawa kwenye msimamo wa ligi kuu.

Timu hiyo mpaka sasa kwenye mechi tano ambazo amecheza ameambulia pointi 2 pekee huku wenyeji wao wakiondoka na ppointi 12 kwenye msimamo wa ligi baada ya kupata ushindi mnono kwenye mechi yao iliyopita. Nani kushinda leo?. Jisajili hapa.

Madrid chini ya kocha mkuu Jose Mourinho wanahitaji kupambania taji la ligi kuu ambalo hawajalipata kwa muda sasa huku wakiwa wamewekeza kwenye usajili wa wachezaji wenye uwezo mkubwa ambao kwa pamoja wanaweza kuisaidia timu kufika malengo yao.

Hii sio mara ya kwanza wawili hawa kukutana, msimu uliopita kwenye mechi mbili za ligi walipokutana, Real aliondoka na pointi 4 ambapo mechi ya kwanza walitoa sare na ya pili wakashinda. Je leo hii nani unampa beti yako ya ushindi?. Suka jamvi hapa.

Meridianbet wao wanampa nafasi ya ushindi Mourinho na vijana wake, lakini pia mechi hii imepewa machaguo zaidi ya 1000. Beti sasa.