Usajili wa Kishindo! Yanga Yaleta Moto Kutoka Saudi Arabia na Zambia

Young Africans SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu wa 2026/27 kwa kutambulisha rasmi wachezaji watatu wapya wenye uzoefu mkubwa wa kimataifa. Hizi ni rekodi zao: đŸ‡«đŸ‡· Cheikh Ibrahima TourĂ© (29) – Mshambuliaji Yanga imemtambulisha mshambuliaji Cheikh Ibrahima TourĂ©, raia wa Ufaransa, akitokea Al-Jabalain FC ya Saudi Arabia. TourĂ© ni mshambuliaji mwenye uwezo…

Read More