Simba SC hesabu zimehamia CRDB Cup

BAADA ya kufunga msimu wa 2025/26 wakiwa nafasi ya pili na pointi 73, uongozi wa Simba SC umebainisha kuwa mpango mkubwa kwa sasa ni mechi ya fainali dhidi ya Azam FC. Simba SC ilifunga msimu wa 2025/26 kwa kupata ushindi wa bao 1-0 KMC FC uliochezwa Juni 30,2026 Uwanja wa KMC Complex. Ahmed Ally, Meneja…

Read More

Mystery Multiplier Drop Yavuma: Zawadi Maelfu Zakusubiri Wachezaji

Kuna wakati katika burudani ambapo bahati, msisimko na matarajio hukutana na kuunda uzoefu usiosahaulika. Hilo ndilo hasa Meridianbet inaleta kupitia kampeni yake mpya ya Mystery Multiplier Drop, promosheni ambayo imeanzisha msimu wa mshangao kwa mashabiki wa michezo ya slot. Kila mchezaji anayeshiriki kwenye michezo ya Wazdan kwa kutumia fedha halisi ana nafasi ya kufungua mlango…

Read More