Paa Sasa, Ushindi Kila Sekunde Ni Uhakika Ukiwa Na Super Heli Premium

Meridianbet sasaimeamua kukupeleka kwenye ulimwengu mpya wa burudani na ushindi kupitia Super Heli Premium.Mchezo umeundwa kukupa kasi, ujasiri na msisimko. Kila raundi ni fursa ya kushinda zaidi, kila uamuzi ni hatua ya kuelekea kilele cha furaha. Hapa, kila sekunde inahesabiwa, kama jackpot yenye uwezekano halisi. Helikopta inapoanza kupaa, shauku ya wewe kujiongezea faida inapanda pia….

Read More

Feisal gari limewaka huko

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ni namba moja kwa mastaa waliohusika katika magoli mengi ndani ya NBC Premier League 2025/26. Ni mabao 11 amehusika katika kikosi cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Florent Ibenge ndani ya ligi namba 6 kwa ubora. Fei amefunga jumla ya magoli 6 na ametoa pasi 5. Azam FC…

Read More

Furaha Yazaliwa Na Meridianbet Kwa Wagonjwa Hospitali Ya Mwananyamala

Katika mwendelezo wa juhudi zake za kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii, Meridianbet imefanya tukio la kugusa mioyo kwa kutoa msaada wa vifaa vya usafi kwa watu waliolazwa Hospitali ya Mwananyamala. Msaada huu umefika kwa wakati muafaka, ukiwapa faraja na tabasamu katika kipindi hiki. Akizungumza kwa niaba ya kampuni, Nancy Ingram alieleza kuwa Meridianbet inaamini katika…

Read More

Kocha Stars abainisha sababu yakupoteza

Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa kushindwa kutumia nafasi mbili ambazo walipata kwenye mchezo ni sababu kushindwa kupata ushindi. Tanzania 0-1 Liechtenstein ni matokeo kwenye mchezo uliochezwa Machi 26,2026 kwenye FIFA Series, Uwanja wa Kigali, Rwanda. Gamondi amesema: “Kila mwenye macho ameona, tulipata nafasi mbili tukashindwa kuzitumia…

Read More

Singida Black Stars vs Azam FC Aprili Mosi 2026

Singida Black Stars vs Azam FC kwenye NBC Premier League inatarajiwa kupigwa Aprili Mosi, 2026 kwa wawili hawa kusaka pointi 3 muhimu ndani ya dakika 90. Ni Uwanja wa Airtel mchezo huu utachezwa ampao wenyeji ni Singida Black Stars watawakaribisha Azam FC kwenye mchezo wa ligi. Wenyeji Singida Black Stars kwenye mechi mbili zlizopita Machi…

Read More

Tanzania vs Liechtenstein ni leo FIFA Series

 Tanzania vs Liechtenstein ni leo kwenye FIFA Series ambayo mashindano maalum, yaliyo kwenye kalenda ya FIFA. Mashaindano haya  yanalenga kuhakikisha timu zinajiandaa na mashindano mbalimbali makubwa yanafanyika nchini Rwanda.  Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Tanzania amesema wapo tayari kwa mchezo wa leo kutokana na maandalizi ambayo wameyafanya kukabiliana na Liechtenstein. Tanzania imesafiri na kikosi cha…

Read More

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool Bure Mwisho wa Msimu

Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kihistoria ya miaka tisa ndani ya Anfield. Salah, mwenye umri wa miaka 33, ameondoka akiwa mchezaji huru (free transfer), jambo ambalo limewashtua mashabiki wengi wa soka duniani. Kupitia video ya kihisia aliyochapisha mtandaoni, Salah…

Read More

Yanga Soccer School na EMWANI waja na mashindano bab kubwa

Yanga SC na Kampuni ya EMWANI wameandaa mashindano yatakayofanyika 28/03/2026 kituo cha TFF Kigamboni.  Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari amesema huo ni muitikio wa Watanzania katika mradi Yanga Soccer School na mshindi wa kwanza atapata milioni 3, mshindi wa pili milioni moja na watakaoishia nusu faiinali watapata laki 5. “Mradi wetu wa Yanga Soccer…

Read More