>

RINGA NA MAOKOTO YA MERIDIANBET LEO

Mambo vipi mteja wa meridianbet?. Unajua kwamba leo hii ndani ya meridianbet kuna mzigo wakutosha?, yani huku mapene kama yote weka mkeka wako haraka sana leo mechi za Europa na Conference zinaendelea hatua za 16 raundi za pili. Ingia na ubeti sasa. Vijana wa Stephano Pioli AC Milan baada za kutoa kichapo cha maana mechi…

Read More

MWAMBA ALVES AKUTANA NA HUKUMU HII

MAHAKAMA ya juu ya Catalonia nchini Hispania imemuhukumu kutumikia jela miaka minne na nusu nyota wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil na Klabu ya Barcelona Dani Alves . Alves mwenye miaka 40 amehukumiwa adhabu hiyo baada ya kukutwa na hatia ya kosa la shambulio la ngono au unyanyasaji wa kingono kwa Mwanamke mmoja…

Read More

LIVERPOOL WAPINDUA MEZA NYUMBANI

WAKIWA Anflield wamebakiza pointi tatu mazima kwa USHINDI dhidi ya Luton Town mchezo wa Premier League. Wababe hao walipindua meza kibabe wakiwa nyumbani na kukomba pointi tatu mazima. Ni Chiedozie Ogbene alianza kufunga dakika ya 12 lilidumu mpaka wanakwenda mapumziko. Dakika ya 56 beki Virgil van Dijk aliweka usawa, Cody Gakpo aliongeza bao la pili…

Read More

ARAJIGA APATA SHAVU HUKO

KUTOKA Tanzania mwamuzi Ahmed Arajiga amepata shavu la kuwa miongoni mwa waamuzi kwenye mashindano ya All African Games ikiwa ni jambo la kujivunia hivyo ana kazi ya kuongeza umakini kwenye kutimiza majukumu yake. Ipo wazi kuwa waamuzi wa Bongo wamekuwa wakiingia kwenye lawama mara kwa mara kutokana na kile kinachotajwa kutokuwa na maamuzi makini ya…

Read More

PIGA MKWANJA WA KUTOSHA NA MERIDIAN KUPITIA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya itaendelea kupigwa tena leo katika viwanja viwili ambapo mteja wa Meridianbet anaweza kupiga mkwanja wa kutosha kupitia michezo hiyo mikali itakayopigwa usiku wa leo. Michezo hii imepewa ODDS KUBWA pale Meridianbet na ndio sababu wewe mteja unaweza kuokota maokoto yako kirahisi kabisa kupitia michezo itakayopigwa leo katika viwanja…

Read More

MWAMBA GUEDE NA OKRA WATAKATA MBELE YA POLISI TANZANIA

NYOTA wa Yanga, Joseph Guede na Okra Magic wametaka kwenye mchezo wa Azam Sports Federation dhidi ya Polisi Tanzania kwa kupiga kazi kubwa mwanzo mwisho. Ni Februari 20 ubao wa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ulisoma Yanga 5-0 Polisi Tanzania ambao wanafungashiwa virago kwenye mashindano hayo . Katika mchezo huo mabao yalifungwa…

Read More

FRED V GUEDE BADO WANAJITAFUTA HUKO

KAZI imeanza ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kila mchezaji kupambania kuonyesha uwezo wake uwanjani huku kukiwa na vita kubwa kwenye upande wa washambuliaji kuonyesha uwezo wao. Baada ya mechi za hivi karibuni mastaa wa Simba na Yanga kila mmoja alikuwa na kazi ya kufanya ni Michael Fred wa Simba na Joseph Guede mwamba wa…

Read More

TABORA UNITED NGUVU ZAO NI FA SASA

UONGOZI wa Tabora United umeweka wazi kuwa kwa sasa wameanza maandalizi kuelekea mchezo wao wa Azam Sports Federation dhidi ya Nyamongo kutoka Musoma. Ipo wazi kwamba mchezo uliopita katika Ligi Kuu Bara uliochezwa Februari 19 ubao ulisoma Tabora United 0-0 Azam FC wakagawana pointi mojamoja. Pointi moja kwa Azam FC imewapa jumla ya pointi 36…

Read More

SIMBA NDANI YA IVORY COAST KUIWINDA ASEC MIMOSAS

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unatambua mchezo wao ujao dhidi ya ASEC Mimosas utakuwa na ushindani mkubwa lakini wapo tayari kupata ushindi. Alfajiri ya Jumanne kikosi cha Simba kilianza safari kutoka Tanzania kuelekea Ivory Coast kikiwa na jumla ya wachezaji 22 pamoja na benchi la ufundi. Ni Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha yupo na kikosi…

Read More