>

MANGUNGU: SIMBA HAIJAUZWA, HAITOUZWA, MUULIZENI YEYE MO DEWJI!

MWENYEKITI wa Klabu ya   Simba, Murtaza Ally Mangungu amekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni hivi karibuni kuwa klabu hiyo imenunuliwa na mwekezaji Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’. Mangungu amesema hayo baada ya kipande cha video kusambaa mitandaoni kikimuonesha Mo Dewji akihojiwa na kueleza kuwa ameinunua Simba kwa dola milioni 20 (zaidi ya Tsh bilioni 51), jambo ambalo liliibua…

Read More

LIGI KUU BARA: SIMBA 1-2 TANZANIA PRISONS

FT: Mchezo wa ligi Simba 1-2 Tanzania Prisons Samson Mbagula goal dk 45, 62. Goal kwa Simba ni Fabrince Ngoma dk 89. AISHI Manula atajilaumu mwenyewe kwa kukaa kwa sekunde kadhaa akiwa langoni huku mpira ukiwa unaelekea langoni mwake na kumpa nafasi mpigaji kufunga kipindi cha kwanza. Samson Mbangula alitumia makosa ya Simba kuwa wengi…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA TANZANIA PRISONS

MACHI 6 2024 kikosi cha Simba kina kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Tanzania Prisons mchezo utakaochezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Aishi Manula, Shomari Kapombe, Israel Kwenda, Henock Inonga, Kennedy Musonda, Babacar Sarr, Mzamiru Yassin, Fabrice Ngoma, Freddy Michael, Clatous Çhama na Kibu Dennis. Benchi ni Ayoub Lakred, Zimbwe, Duchu, Kazi, Hamish, Ntibanzokiza, Chasambi,…

Read More

BINGWA LA JACKPOT LAPATIKANA MERIDIANBET

Hatimae mshindi wa ile Jackpot ya kibabe kabisa mjini chini ya mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet imepata mshindi wake, Ambapo amepatikana mshindi wa kiasi cha Milioni 10 baada ya kupata timu 12 kati ya 13 kwenye Jackpot. Mshindi huyo wa Jackpot ya Meridianbet anayefahamika kama Elia Erick kutoka mkoani Morogoro alifanikiwa kushinda kupatia michezo…

Read More

SIMBA KETE ZAKE ZA MOTO MACHI ZIPO NAMNA HII

KUNA kete za moto ndani ya kikosi cha Simba ambacho kina kazi nzito ya kusaka pointi tatu dhidi ya wapinzani wao ambao nao pia wanazihitaji pointi hizo tatu kwa namna yoyote ile kutoakana na ushindani wa ligi kuwa mkubwa. Wakiwa wameshatinga hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kazi inatarajiwa kuendelea ndani ya Ligi…

Read More

MWAMBA FEI TOTO GARI LIMEWAKA HUKO

NYOTA Feisal Salum gari limewaka ndani ya uwanja kutokana na kasi yake kuzidi kupamba moto akiwa anatimiza majukumu yake ndani ya uwanja kwenye mechi za ushindani. Mzawa huyo ni namba moja kwenye chati ya wafungaji Bongo akiwa katupia jumla ya mabao 11 yupo ndani ya Azam FC akitimiza majukumu yake na mechi za nyumbani huwa…

Read More

SUPER HELI KASINO MPYA IMEPOKELEWA VIZURI

Haya Haya ni takribani wiki imeisha tangu kutambulishwa kwa mchezo mpya wa kasino ya mtandaoni pale Meridianbet, unaitwa Super Heli kwa ripoti zilizopo mchezo huu ni miongoni mwa michezo 10 pendwa inayoongoza kwa watu kuicheza. Waliotengeneza mchezo huu ni kampuni ya Expnase studios na kisha Meridianbet ikachukua jukumu la kuuleta kiganjani kwako, na kukupa ofa…

Read More

MABOSI AZAM FC WAMPA DUBE MASHARTI MAWILI ASEPE

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa hauna taizo na mchezaji wao Prince Dube ambaye anahitaji kuondoka ni machaguo mawili anayo kuyafanya kwa sasa kuendelea na maisha yake ya soka bila tabu. Ipo wazi kwamba Dube ndani ya ligi kwa msimu wa 2023/24 kafunga jumla ya mabao saba anatajwa kuwa kwenye hesabu za kuibukia ndani…

Read More