YANGA WANA NJAA KALI KWELIKWELI
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wana njaa ya kupata alama tatu baada ya kupishana nazo kwenye mchezo uliopita wa Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba Aprili 24 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Meja Isamuhyo ulisoma JKT Tanzania 0-0 Yanga wote wakagawana pointi mojamoja. Pointi hiyo inawafanya Yanga kufikisha…