MERIDIANBET YAJA NA PROMOSHENI YA KIBABE SANA

Wababe wa michezo ya ubashiri Tanzania Meridianbet safari hii wameamua kuwapa kipaumbele wateja wanaotumia mtandao wa Tigo Pesa kufanya miamala yao kwenda Meridianbet na kufanya ubashiri kwa kuwaletea promosheni ya Saka Bajaji na Tigo Pesa. Promosheni hii ya Saka Bajaji na Tigopesa itaanza tarehe 01 November 2024, na itaisha Desemba 31 2024 saa 5:59 usiku…

Read More

CHEZA RICH PANDA USHINDE MKWANJA

Mchezo wa kasino ambao unaweza kukufanya ukashinda mkwanja kiurahisi kwasasa unapatikana pale Meridianbet na sio mchezo mwingine ni Rich Panda, Cheza mchezo huu uweze uibuke na kitita cha kutosha. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita kutokana na namna rahisi ya kuweza kucheza mchezo huu, Pitia tovuti ya Meridianbet sasa…

Read More

Nyakua Mkwanja wa Haraka na Meridianbet Leo

Je unajua kwa dau lako dogo unaweza ukajishindia mamilioni ya pesa?. Beti mechi zote kuanzia kule LALIGA, EPL, LIGUE 1 na zingine kibao ujiweke kwenye nafasi ya kutusua mapene. Tukianza na ligi ya Ujerumani leo hii BUNDESLIGA mechi ni mbili pekee ambapo SC Freiburg baada ya kupoteza mechi yake iliyopita, leo atamkaribisha FSV Mainz ambaye…

Read More

YANGA YAPOTEZA POINTI MBELE YA AZAM FC

AZAM FC, matajiri wa Dar inakuwa timu ya kwanza kukomba pointi tatu mbele ya mabingwa watetezi Yanga kwenye mchezo wa ligi msimu wa 2024/25. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, baada ya dakika 90 ubao umesoma Yanga 0-1 Azam FC bao la ushindi likifungwa na Sillah dakika ya 33. Katika mchezo wa leo Yanga…

Read More

GOLI LA MUKWALA ALIVYOWAWEKA MASHUJAA WAAAAH – VIDEO

Dakika 90 zimemalizika katika dimba la CCM Lake Tanganyika, Kigoma Mnyama akichukua alama zote tatu jioooni kabisa kupitia kichwa cha Steven Dese Mukwala. Simba Sc imekwea mpaka nafasi ya pili baada ya kufikisha pointi 22 sawa na Singida Black Stars lakini utajiri wa magoli ukiwaweka juu. FT: Mashujaa Fc 0-1 Simba Sc ⚽ 90+6’ Steven…

Read More

BREAKING: GRACE MAPUNDA (TESSA) AFARIKI DUNIA

Habari za kusikitisha zilizotufikia asubuhi hii ya Novemba 2, 2024 zinaeleza kuwa, muigizaji nguli wa Bongo Movies, Grace Mapunda almaarufu Tessa anayeng’ara kwenye Tamthiliya ya Huba amefariki dunia. GLOBAL TV imezungumza na Meneja Uzalishaji (Production Manager) wa Huba Series aitwaye Saffi ambaye amethibitisha kutokea kwa msiba huo mzito. Saffi amesema Tessa amefariki dunia alfajiri ya…

Read More

SINGIDA BLACK STARS WAJA NA JAMBO HILI

PATRICK Aussems , Kocha Mkuu wa Singida Black Stars ameweka wazi kuwa bado wapo kwenye mbio za kuwania kombe la Ligi Kuu Bara 2024/25 licha ya kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Yanga kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa New Amaan ukisoma Singida Black Stars 0-1 Yanga. Ikumbukwe kwamba kombe la ligi mabingwa watetezi ni…

Read More

YANGA YAIPIGA MKWARA AZAM FC

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hawana hofu na wapinzani wao Azam FC licha ya timu hiyo kupata muda mrefu wa kufanya maandalizi kuelekea mchezo wao wa Dar Derby katika NBC Premier League. Ikumbukwe kwamba Azam FC mchezo wake uliopita ilicheza dhidi ya Ken Gold na kupata ushindi wa mabao 4-1 inakutana na…

Read More

Timiza Ndoto Zako na Meridianbet Sasa

Anza taratibu kutimiza ndoto zako na Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako la uhakika kwani mechi kibao zinapigwa leo na odds zao zikiwa ni kubwa sana. Jisajili na ubashiri sasa. Ligi kuu ya Italia SERIE A, kuna mechi zenye kukupatia pesa Bologna kuchuana dhidi za US Lecce ambapo timu zote zimetoka kushinda mechi…

Read More

MASHUJAA WAPOTEZA MBELE YA SIMBA JIONI

MSHAMBULIAJI wa Simba, Steven Mukwala maarufu kama mshambuliaji mrefu kuliko goli, mipira ya juu haruki ni waa, leo Novemba Mosi amefunga bao kwa kurukia mpira wa juu. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika umesoma Mashujaa 0-1 Simba bao likifungwa na Mukwala kwa pigo la kichwa baada ya kuruka juu kuufuata mpira…

Read More